Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Na tofauti ya Ronaldo ni goli la offside. Ingekuwa timu nyingine hapa ungesikia maneno ya kubebwa.
Google huyo refa anaitwa Viktor Kassai... halafu uje na jibu ni shabiki wa timu gani. Fungua Wikipedia
 
Kama naiona fainal juve na madrid bt bek ya juve ile madrid cjui anapitia wap
 
Keshokutwa mrudi kuangalia ligi zenu watalamu wamemaliza.
 
Shabiki wa Real Madrid
Amemtoa atulo Vidal ili iwe Raisi kushinda na amefanikiwa
Hawa marefa wanaotoka ligi ndogo ndogo sijui uefa huwa wana waamini vipi hadi kuwakabidhi mtanange mzito kama huu... Huyu refa kabugi tangu mwanzo huyo Casemiro kwanza alistahili kula umeme kabla hata ya Vidal. Bado kawazawadia goli la offside.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…