Sio mbaya sana, nilitegemea utulivu vijana waliounyesha mpaka sasa, kipnd cha pili ni cha kumaliza game sasa, Kroos Leo hatawakosa, bado tu mambo hayajakaa poa.
So far Dani na Marcelo wamefanya kazi kubwa sana.
Ile alkikosea tu timing, alitakiwa atoe pass mapema kabisa, kusogea nao ilikuwa ndio kosa, anyway hope Zidane ataongea na vijana wake ili warekebishe makosa kipnd cha pili.
Ile alkikosea tu timing, alitakiwa atoe pass mapema kabisa, kusogea nao ilikuwa ndio kosa, anyway hope Zidane ataongea na vijana wake ili warekebishe makosa kipnd cha pili.