Ramos Leo atakuwa na wakati mgumu kweli kweli, akipewa kadi ya njano Leo ina maana atakosa game inayofuata dhidi ya Barcelona!! So ni jambo kumua tu mwenyew kama anataka kucheza game inayofuata ama laa !!
Kweli kabisa, kwanza ile game ya Atletico agecheza, ila Zidane aliamua kuwaamini Nacho na Varane na wakafanya vizur!! maana yake hata El Clasisco Ramos asipokuwepo ni poa tu.