Kiukweli Leo timu imejituma sana na kuepuka makosa yasiyo ya lazima,big up kwa hilo,tumecheza vizuri sana bila shaka hii morale isiishie hapa hope itaendelea game zijazo, kikoai ni kipana sana kila mchezaji ana uwezo mfano kovacic anatendea haki dimba la kati pass zake pa1 na move zake xo nice,good performance so far,keep it boys.