Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

ZZ anasema benz na varane walitolewa sababu ya injury, mbona kama list ya injuries inakua kubwa James, Casemiro, Marcelo, Modric, Varane, and Benz still kuna international break you never know but kidogo inatia hofu


Man hofu sio kidogo, hii international break inakuja 15 players wako kwenye NT zao.
 
James' Official Medical Report:

CtyJIeYXYAAwfAF.jpg:large
 
nipo nawacheki celta na barca, celta wanaongoza moja lets hope matokeo yabaki hivi hivi
Mkuu mwenyew hapa nimeshikilia tu pb, hii ngoma ibaki hiv hiv!!
Ila tumeshindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, hiki ndio kinachoniuma zaid
 
nipo nawacheki celta na barca, celta wanaongoza moja lets hope matokeo yabaki hivi hivi


Mkuu mwenyew hapa nimeshikilia tu pb, hii ngoma ibaki hiv hiv!!
Ila tumeshindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, hiki ndio kinachoniuma zaid


We need to win our games, hii tabia ya kutegemea our rivals wafungwe hatuwezi kuchukua ubingwa. Last season ilikuwa hivi hivi wamepoteza mechi sisi badala ya kuchukua gape, tukawa tuna-draw tu at the end tukakosa ubingwa kwa point moja.
 
We need to win our games, hii tabia ya kutegemea our rivals wafungwe hatuwezi kuchukua ubingwa. Last season ilikuwa hivi hivi wamepoteza mechi sisi badala ya kuchukua gape, tukawa tuna-draw tu at the end tukakosa ubingwa kwa point moja.
Ni kweli Mkuu, ndio maana nimesema hapo kuwa tunashindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, msimu uliopita walituacha wakati team yetu haifanyi vizur, na sisi tunatakiwa tufanye hivyo pia ili tuwe na uhakika wa kchukua la liga
 
Ni kweli Mkuu, ndio maana nimesema hapo kuwa tunashindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, msimu uliopita walituacha wakati team yetu haifanyi vizur, na sisi tunatakiwa tufanye hivyo pia ili tuwe na uhakika wa kchukua la liga
Kama tungeshinda tungeongeza gape maana mtaa wa pili wameambulia kichapo ndo hvyo tena still tumempita pointi mbili, ila hii international break timu ijitafakar vzr na zizou aje na plan B ya kutafuta ushindi maana anaanza kutuzngua tyuu.
 
Vincent Calderon - home to our fierce city rivals , Atletico Madrid turns 50 today!

Proud to have such a strong neighbour in the city.

14572785_1331507746873982_6994678356919204791_n.jpg
 
Basketball Results!!
Real Madrid 142-137 OKC Thunder

Shukran za kipekee kwa Sergio Llull kwa mtupo wake wa point 3 zilizopelekea kufangana point.
 
As foe now, no return date on Marcelo and Casemiro.

Modric out for a month.

Varane, Benzema and James should be okay but they're undergoing tests.


14463188_1332325460125544_7870148595812388288_n.jpg
 
15 Madrid Players were called up for International Duty.

Varane and James won't play though.

15, with Casemiro and Modric injured. Talk about an international team.

14494814_1332337876790969_3251394509824533071_n.jpg
 
Isco on contract renewal: "The truth is that I have not yet thought about it, nor have they asked me to renew, so I am calm."

"If they don't want me to renew, I won't go asking for it. It's something for the club to decide, not me."
 
Marca | "Isco: If I'm not a starter it's my own fault..I'm not stupid."

Ct4koXPWIAAJi1p.jpg:large
 
Isco hataki kuongeza mkataba, ufafanuz wakuu


Isco aendi popote mkuu. Hawa waandishi wanauliza swali, wanapewa jibu simple, lakini taarifa watakazozitoa ni nzito kupita maelezo.
 
Back
Top Bottom