Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Duu, Nacho imekuaje hajaruka, saa nyingine hawa beki zetu bhana, last time jamaa tuliwapiga 4 mtungi, ila Leo ninaona wamerudisha mawili tayar!! Watajisifu sana aisee!!
 
Muhimu tumechukua point tatu....nlichokiona ni kuwa benzema na morata hawatakiwi kucheza pamoja....Ligi inapozidi kunoga Kiko akae benchi
 
Beki zimekataana kimtindo na Kiko Casilla kashindwa kutoka na clean sheet. Goli zote mbili zinafanana krosi zimekuja Casilla Yuko sokoni maforward wakawa wanagonga Tu, nyavu.
 
Muhimu tumechukua point tatu....nlichokiona ni kuwa benzema na morata hawatakiwi kucheza pamoja....Ligi inapozidi kunoga Kiko akae benchi
Huwezi amini, mimi ninamkubali Mariano kuliko hata huyo Morata na Benzema, dogo ni mwepesi kweli kweli, Zile kosa kosa za Benzema na Morata angalau tungehesabu hata goli!!
Casilla amemshikia Navas tu pale jamaa akipona benchi limamhusu, labda acheze Kombe la Mfalme!!
 
Match Day 3:

Real Madrid 5-2 Osasuna (Goals: Ronaldo, Ramos, Danilo, Pepe, Modric) (Assists: Bale, Kroos x2, Morata)


CsAOvwaWAAAe3LA.jpg:large
 
Back
Top Bottom