Kuna ka uzito fulani hiv pale nyuma ka kuhamisha mipira tunaposhambuliwa, sijui shida ni nin !! Hawa hawatakiwi kutuzoea!!
Casemiro na yeye hawezaji kumaliza mpira bila Card!!
Kuna ka uzito fulani hiv pale nyuma ka kuhamisha mipira tunaposhambuliwa, sijui shida ni nin !! Hawa hawatakiwi kutuzoea!!
Casemiro na yeye hawezaji kumaliza mpira bila Card!!
So far we played a very good game....am impressed with the squad...casemiro,asensio vascuez, morata wameonyesha nia ya kuwa hapa......juhudi ni muhimu tunahitaji kunyanyua LaLiga title!