REA Mara, huu ndiyo unaoitwa Ubaguzi!

kwa hiyo dhumuni lao ni kuwekea watu walioko kando kando ya bara bara ndani ya meter 30, au dhumuni lao ni kusamba umeme kwa watu wote wa vijijini ili waupate kwa bei nafuu?
Rural Energy Agency. Najua na si katika dhumuni la REA kila mtu apate umeme kwa wakati mmoja mzee, kuna taratibu na kuna awamu. Sasa hivi REA wametangaza "Prequalifications" kwa ajili ya "REA III round 2A", sasa unaposema ni ubaguzi nitakuuliza unaijua scope ya hapo ulipo inatakaje ? Au hata route za mchoro wa kijiji chenu zikoje ?

Sasa usidai tu kwamba ni ubaguzi wakati huijui hali halisi. Shida inakuja kwa wale wanao tumwa kuhamasisha ulipiaji wa huduma hizi vijijini huwa kuna vitu hawaviweki sawa.
 
pili ni wngpi vijijini utawambia bei ya hayo malaki walipe...na scope ya REA ni kuwekewa umeme wa BEI NAFUU kwa watu wote na si kuchagua waliyooko karibu!
Rural Energy Agency. Najua na si katika dhumuni la REA kila mtu apate umeme kwa wakati mmoja mzee, kuna taratibu na kuna awamu. Sasa hivi REA wametangaza "Prequalifications" kwa ajili ya "REA III round 2A", sasa unaposema ni ubaguzi nitakuuliza unaijua scope ya hapo ulipo inatakaje ? Au hata route za mchoro wa kijiji chenu zikoje ?

Sasa usidai tu kwamba ni ubaguzi wakati huijui hali halisi. Shida inakuja kwa wale wanao tumwa kuhamasisha ulipiaji wa huduma hizi vijijini huwa kuna vitu hawaviweki sawa.
 
kwa hiyo dhumuni lao ni kuwekea watu walioko kando kando ya bara bara ndani ya meter 30, au dhumuni lao ni kusamba umeme kwa watu wote wa vijijini ili waupate kwa bei nafuu?
Kwanza umeelewa nilichokiandika ? Huwezi kufanya miradi ya kiufundi bila kufata kanuni za kiufundi mzee. Wapo watu kibao wapo ndani ndani na wamepate umeme, cha msingi nguzo ikufikie,kisha uwe ndani ya mita 30. Kama haupo ndani ya mita 30,utaratibu mwingine hufanyika ili uingizwe ndani ya mita 30 na upewe huduma. Hili hufanyika kwa kupelekewa nguzo mpya chini ya utaratibu husika. Sasa usiwe unalalamika kwa jambo usilo kuwa na elimu nalo, huu tunauita upotoshaji.

Lengo na shabaha ni watu wapate umemewa bei nafuu, kwa kufata taratibu.

Ahsante.
 
pili ni wngpi vijijini utawambia bei ya hayo malaki walipe...na scope ya REA ni kuwekewa umeme wa BEI NAFUU kwa watu wote na si kuchagua waliyooko karibu!
Rejea nilicho kwambia huko nyuma, kwamba wale wahamasishaji huwa hawatoi elimu sahihi kwa wateja wao, juu ya hii huduma ndiyo maana.

Wanachotakiwa wateja kufanya au kuambiwa na wahamasishaji ni kuwa walipe kwa wingi hata kama hawajafikiwa na nguzo za umeme, wakizembea mradi ukikabidhiwa kwa TANESCO wakikuta hukulipia kipindi ndi MKANDARASI yupo, na MKANDARASI ameshakabidhi mradi lazima ulipie bei elekezi ya TANESCO na hapa huwezi kumlaumu TANESCO huu unakuwa ni uzembe wako, kwahiyo hapa tatizo kubwa ni kuwa wateja hawapewi elimu sahihi juu ya ofa hii ya umeme vijijini.
 
pili ni wngpi vijijini utawambia bei ya hayo malaki walipe...na scope ya REA ni kuwekewa umeme wa BEI NAFUU kwa watu wote na si kuchagua waliyooko karibu!
Nani amekwambia scope ya REA ni kuwekewa umeme wa BEI NAFUU kwa watu wote ? Hii kauli siyo ya sawa. Lengo ni hilo ila kwa awamu na kufata taratibu na miongoni mwa taratibu ni kuwa MKANDARASI anajenga kulingana na scope husika,scope ambayo imewasilishwa kwenye michoro.
 
naona unatetea kile ambacho hukijui, bora ukae kimya, utakuwa mmoja wa wanufaikaji wa hela za REA, hujui hata kuwa mradi huu ulibuniwa ili watu ambao walikuwa hawana uwezo wa kulupia hela nyingi wapate unafuu kwa kulipa hela kidogo, napoongea hapa huu mradi upo hai ba watu wameambiwa walioko ndani ta meter 30 tu ndo wakajaze forn, wengine wakachukue form za Tanesco za kulipia gharama kubwa...so better utulie. pale ambapo serikali na waziri hata leo wanapiga kelele kuwa kila mtu kwenye huu mradi atapata umeme kwa elf 27,, mradi huo huo, kijiji hicho hicho, unaambiwa wewe utalipa laki 5, we naona upo mjini hujui kinacho endelea huku pori.
Nani amekwambia scope ya REA ni kuwekewa umeme wa BEI NAFUU kwa watu wote ? Hii kauli siyo ya sawa. Lengo ni hilo ila kwa awamu na kufata taratibu na miongoni mwa taratibu ni kuwa MKANDARASI anajenga kulingana na scope husika,scope ambayo imewasilishwwa kwenye michoro.
 
naona unatetea kile ambacho hukijui, bora ukae kimya, utakuwa mmoja wa wanufaikaji wa hela za REA, hujui hata kuwa mradi huu ulibuniwa ili watu ambao walikuwa hawana uwezo wa kulupia hela nyingi wapate unafuu kwa kulipa hela kidogo, napoongea hapa huu mradi upo hai ba watu wameambiwa walioko ndani ta meter 30 tu ndo wakajaze forn, wengine wakachukue form za Tanesco za kulipia gharama kubwa...so better utulie. pale ambapo serikali na waziri hata leo wanapiga kelele kuwa kila mtu kwenye huu mradi atapata umeme kwa elf 27,, mradi huo huo, kijiji hicho hicho, unaambiwa wewe utalipa laki 5, we naona upo mjini hujui kinacho endelea huku pori.
Tofauti yangu mimi na wewe ni kuwa wewe hujui ila unajifanya unajua, na mimi najua ninacho kiandika.

Hakuna aliyepinga kwamba lengo ni hilo, ila haya mambo yanaenda kwa awamu na mahesabu. Sasa unapokazania lengo, bila kujua lengo linatimizwa vipi huu ni upotoshaji.

Kwa ufupi mimi nimepeleka hizi huduma vijijini na changamoto hizi nimekutana nazo, nikiwa kama sehemu ya MKANDARASI, shida kubwa ni kuwa watu hawapewi elimu sahihi juu ya huduma hii, na wateja wanakuwa hawajui ya kuwa huduma inapelekwa kwa kufata mchoro. Na ndiyo maana katika mikataba ya miradi hii huwa kuna sehemu ya "addition of scope" ndani ya mradi, kama unafatilia utaona kuna baadhi ya makampuni wameongezewa scope, lengo na shabaha ni kukidhi haja, na hiyo addition huikuti kwenye michoro. Ndiyo maana nasa hivi hao wateja wanachotakiwa ni kulipia tu.

Inapotokea wewe unaambiwa ulipe laki 5 na yule alipe bei ya ofa, hiyo siyo sawa na sababu nyote mpo ndani ya wanufaika na MKANDARASI hajakabidhi mradi kwa TANESCO, sasa usiwe unaandika tu UBAGUZI wakati hujui hizi kazi zinafanywa vipi.

Ahsante, mimi kwa upande wangu nimemaliza.
 
hapa tunahitaji Tanesco watupe maelekezo, ili tujue yale anayosema waziri wa Nishati ni porojo tu...huu umeme siyo wa hiyo bei kwa watu wote waliokoo sehemu husika au kijiji husika.
TANESCO Karibuni kwenye mjadala huu tuweze kupata maoni yenu juu ya hili.
 
ndugu wateja, kuna thread maalum ya TANESCO, tutashukuru kama tutapata malalamiko, maoni na ushauri kupitia thread hio
 
TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
 
maswali ndo hayo tunaomba mrejesho wenu kuhusu hili swala la Rea, pale mnapowaunganishia watu waliyoko ndani ya meter 30 tu, zaidi ya hizo meter mnatulipisha ma laki...kijiji hicho hicho maeneo hayo hapo, sasa huu mradi ni wa kusaidia tu watu waliyo karibu na nguzo basi.
TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
 
maswali ndo hayo tunaomba mrejesho wenu kuhusu hili swala la Rea, pale mnapowaunganishia watu waliyoko ndani ya meter 30 tu, zaidi ya hizo meter mnatulipisha ma laki...kijiji hicho hicho maeneo hayo hapo, sasa huu mradi ni wa kusaidia tu watu waliyo karibu na nguzo basi.

Mkuu peleka huu uzi kwenye thread yao huko
 
maswali ndo hayo tunaomba mrejesho wenu kuhusu hili swala la Rea, pale mnapowaunganishia watu waliyoko ndani ya meter 30 tu, zaidi ya hizo meter mnatulipisha ma laki...kijiji hicho hicho maeneo hayo hapo, sasa huu mradi ni wa kusaidia tu watu waliyo karibu na nguzo basi.
Hakuna malipo yanayopaswa kulipwa nje na utaratibu uliowekwa tafadhali onyesha laki hiyo ulilipa wapi? Wilaya na namba yako ya simu kwa hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa majibu yako, Utaratibu mliotuwekea hata kwenye leaflets zenu upo, ni kwamba aliyeeko ndani ya meter 30 tu ndo anawekewa umeme, je eneo hilo hilo mtu yupo kwenye mita tuseme 40 tena hadi 70 hawekewi kwa hiyo bei, hilo unalisemaje? make mimi nyumba yangu ipo meter 75, nimeambiwa siwezi wekewa kwa elfu 27, ninepigiwa survey na hesabu yangu ni kuwa lazima waweke nguzo moja hivyo gharama zinakuja laki tano na arobaini, hii imekaaje?
Hakuna malipo yanayopaswa kulipwa nje na utaratibu uliowekwa tafadhali onyesha laki hiyo ulilipa wapi? Wilaya na namba yako ya simu kwa hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom