Amosen
Member
- May 28, 2012
- 45
- 8
[h=6]Hawa jamaa wamebarikiwa sana,
Na sisi WACHAGA tusemeje? sisi ndio usipimee mpaka r
[h=6]Hawa jamaa wamebarikiwa sana,
Na sisi WACHAGA tusemeje? sisi ndio usipimee mpaka r
Yote ulosema ni kweli ila umesahau moja la muhimu. Wahaya wanahusudu sana ukabila. Nawapa pole kwa hilo!Hawa jamaa wamebarikiwa sana, yani ni werevu, wajanja, wana busara, wana nguvu, ni wachapakazi, wanajiamini, ni viongozi, wanajituma, alafu wanahela na wanampenda Mungu. Yaani wahaya wamebarikiwa sana. Proud 2b one of them. Thanks God
tatizo dada zako wewe pesa mbele ! Tena hakuna kuvua viatu wala kuweka "karufundi" (ufundi)!kapi hako boss...????? ka kuwagongea dada zenu...???? ha ha ha ah ah... kama kawa tupo
[h=6]Hawa jamaa wamebarikiwa sana, yani ni werevu, wajanja, wana busara, wana nguvu, ni wachapakazi, wanajiamini, ni viongozi, wanajituma, alafu wanahela na wanampenda Mungu. Yaani wahaya wamebarikiwa sana. Proud 2b one of them. Thanks God[/h]
Wahaya hakuna kitu bwana kama ni ishu ya Kubarikiwa na mungu basi Wanyakyusa ndo Mpango mzima,zaidi ya nusu ya Makanisa yote nchi wanayaendesha wao,Ukarimu ,busara na Umakini kwenye kufanya jambo hiyo ni sifa nyingine kubwa,hawana majivuno yasiyo na msingi kama wahaya,na sifa zingine nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi.
[h=6]Hawa jamaa wamebarikiwa sana, yani ni werevu, wajanja, wana busara, wana nguvu, ni wachapakazi, wanajiamini, ni viongozi, wanajituma, alafu wanahela na wanampenda Mungu. Yaani wahaya wamebarikiwa sana. Proud 2b one of them. Thanks God[/h]
[h=6]Hawa jamaa wamebarikiwa sana, yani ni werevu, wajanja, wana busara, wana nguvu, ni wachapakazi, wanajiamini, ni viongozi, wanajituma, alafu wanahela na wanampenda Mungu. Yaani wahaya wamebarikiwa sana. Proud 2b one of them. Thanks God[/h]