HI! WANA JF.
Kuna jambo ningependa kufahamu juu ya ukosefu wa majina kwa baadhi ya wanafunzi wa stashahada ktk taasisi ya serikali(TCU).Mfano mdogo ni ukosefu wa majina yote ya wanaCBE-MWANZA kujikuta hawapati usajili eti kwa kuwa RECORD zao hazipo.Sasa NaNi alaumiwe kwa ubabaishaji huu? Vilevile vijana hao wafanyeje ili waweze kupata fursa ya kujiunga na elimu ya JUU? Wana JF naomba mnijibu.
Kuna jambo ningependa kufahamu juu ya ukosefu wa majina kwa baadhi ya wanafunzi wa stashahada ktk taasisi ya serikali(TCU).Mfano mdogo ni ukosefu wa majina yote ya wanaCBE-MWANZA kujikuta hawapati usajili eti kwa kuwa RECORD zao hazipo.Sasa NaNi alaumiwe kwa ubabaishaji huu? Vilevile vijana hao wafanyeje ili waweze kupata fursa ya kujiunga na elimu ya JUU? Wana JF naomba mnijibu.