Re: THANKS TO JF

Wapi wewe mfanyakazi wa sekretarieti unajifanya umepata kazi.Sema unataka uwaosheee nenda Fb huko kawadanganye wenzio sio hapa

Haya ndo majitu yaliyoathiliwa na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu sasa makashfa ya nini?
 
Wapi wewe mfanyakazi wa sekretarieti unajifanya umepata kazi.Sema unataka uwaosheee nenda Fb huko kawadanganye wenzio sio hapa

Haya ndo majitu yaliyoathiliwa na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu sasa makashfa ya nini?
 
Pongezi nyng zikufikie,nenda kawe mtumwa mwema.najiskia furaha sana kuona mwenzangu umepata kazi kwani najua na mie zam yang ndio inakaribia,Thank God for that.
Sasa imebaki zamu yetu

Asante mkuu, na ni kweli kila mtu ana zamu na bahati yake
 
kweli akili ni nywele,...... badala ya kusema mshahara wa kwanza anunue vocha mojamoja za mitandao tofautitofauti na awe akiziweka katikati ya mada yoyote mpaka ziishe, wale wanaosoma na kufuatilia mada za JF watafaidi kila mtu kwa kadiri ya anavyojituma kuitumia JF. :dance:

Hee! Kumbe na hii ni applicable? Msitoke hapo, nkidaka tu za mzaifu nakuja hapa kudistrubute
 
Back
Top Bottom