Re: THANKS TO JF

bombu

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,127
542
Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.

Nimepata,

Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.

Asanteni.
 
Wapi wewe mfanyakazi wa sekretarieti unajifanya umepata kazi.Sema unataka uwaosheee nenda Fb huko kawadanganye wenzio sio hapa
 
Wapi wewe mfanyakazi wa sekretarieti unajifanya umepata kazi.Sema unataka uwaosheee nenda Fb huko kawadanganye wenzio sio hapa

Siwezi kukulaumu, considering your joining date. Otherwise furahi pamoja nami kwani Mungu amenitendea yaliyo mema, nami imenipasa kumshukuru
 
Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.

Nimepata,

Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.

Asanteni.

Hongera sana.Usisite kutoa uzoefu wako kwa namna ulivyopitia mchakato mzima kuanzia kuandika barua,usaili,mpaka kuitwa kazini.Hii ni kwa manufaa ya wengine ambao badok wapo kwenye mchakato...
PIGA KAZI SASA,KUMBUKA CHEZEA MSHAHARA NA SIO KAZI.
 
Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.

Nimepata,

Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.

Asanteni.

Hongera sana.Usisite kutoa uzoefu wako kwa namna ulivyopitia mchakato mzima kuanzia kuandika barua,usaili,mpaka kuitwa kazini.Hii ni kwa manufaa ya wengine ambao badok wapo kwenye mchakato...
PIGA KAZI SASA,KUMBUKA CHEZEA MSHAHARA NA SIO KAZI.
 
Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.

Nimepata,

Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.

Asanteni.

Hongera mwanafamili, kwa kupata kazi, sie tuliobaki aluta continue mpaka kielewe, by the way umeajiriwa nafasi gani na ofisi ya serikali labda one day we can make a physical visit and say hello kama famili wa JF. Gud luck with your new job and be a good public servant who is not corrupt.
 
hongera zako mkuu, sasa ishukuru JF kwa kuichangia fedha ili iweze kujiendesha, kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi. Mimi nimeshaichangia siku nyingi japo ID yangu haioneshi kuwa mimi ni premium member (nimependa tu!)
 
Hongera sana.Usisite kutoa uzoefu wako kwa namna ulivyopitia mchakato mzima kuanzia kuandika barua,usaili,mpaka kuitwa kazini.Hii ni kwa manufaa ya wengine ambao badok wapo kwenye mchakato...
PIGA KAZI SASA,KUMBUKA CHEZEA MSHAHARA NA SIO KAZI.

Asante my dear paesulta, ni kweli sikudhani kuwa mtoto wa mkulima mie ningeweza kupita katika tundu la sindano, kwani nilikuwa najaribu bahati yangu. Cha muhimu ni kuzingatia maelekezo yaliyotolewa katika tangazo la kazi, uandishi mzuri wa barua ya maombi ambayo iko wazi, CV iliyopangiliwa vizuri, na viambatanisho vyote vinavyohitajika.

Pili kwenye intavyuu, kujiamini kunahitajika, haina haja ya kujisomea saaaana, ila kujiamini na kutulia. Ukweli ni kuwa PANEL inatisha especially kama mtu hajazoea maintavyuu. Ingawa ukitulia na kujibu kwa utulivu una advantage sana.

Tatu, usiache kujibu swali hata moja, wala usiseme sijui, jaribu kujibu tuu kulingana na uelewa wako, usizunguke swali nenda direct kwenye pointi.

Kwa mara nyingine Naipongeza Tume ya Ajira, kwa usawa huu.
 
Last edited by a moderator:
Hongera mwanafamili, kwa kupata kazi, sie tuliobaki aluta continue mpaka kielewe, by the way umeajiriwa nafasi gani na ofisi ya serikali labda one day we can make a physical visit and say hello kama famili wa JF. Gud luck with your new job and be a good public servant who is not corrupt.

Asante sana MAUBIG, ni kweli hakuna kuchoka hadi kieleweke, huo ndo MOTTO wetu vijana. Kuhusu nafasi ni mapema kusema, lol, will come next time kwa ajili hiyo, nisamehe bure. By the way am always faithful tangu nikiwa kinda, so namshukuru Mungu kwa kunipa moyo huu mdogo wa kuridhika na nikipatacho. Tuombeane ili katika hili nihusike kulisogeza mbele gurudumu la maendeleo ya taifa letu changa lenye Umri mkubwa, lol. Thanks once again
 
Last edited by a moderator:
da nakutamania wangu, hope namimi soon nitaishukuru kama ulivyoishukuru wewe..then 2pe cri na mafanikio ya intavyuu.
 
hongera zako mkuu, sasa ishukuru JF kwa kuichangia fedha ili iweze kujiendesha, kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi. Mimi nimeshaichangia siku nyingi japo ID yangu haioneshi kuwa mimi ni premium member (nimependa tu!)

You Know what Narubongo, inabidi tuiwezeshe JF, ili idumu kwa ajili ya leo na kesho na hata milele, lol by the Grace of God, of course. Ntajitahidi kwa kadri ya niwezavyo, then ntarusha kule, ukiona nimebadili title utagundua, lol.
And Thanks sana kwa pongezi zako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom