Re~post.msaada wa mawazo

Re~post.msaada wa mawazo

Zimbolo

Member
Joined
Oct 11, 2018
Posts
13
Reaction score
2
Samahani naomba kuuliza kwa anaefahamu.
mimi ni muuguzi (ngazi ya diploma) niliomba kujiunga na ngazi ya degree mwaka huu na nimefanikiwa kuchaguliwa kozi ya human nutrition(sua)
swali langu ni kama ifuatavyo
1.je nikimaliza io kozi wakati wa ku renew leseni tnmc nitapewa leseni ya aina gani?..nutritional nurse officer au nutritional officer?
2.salary scale yangu itapanda kama nesi mwenye degree,au itaendelea kua ileile ya diploma,au nitalipwa kama nutritional officer ambaye ambaye mshahara wake ni mdogo kuliko nurse mwenye diploma (tgsd)
 
Utalipwa kama nutritional officer coz hakuna link kati ya nursing na nutrition kiutendaji... pia utajisajili upya kama nutritional officer na pia sallary scale yako itashuka(nutritional officer) nakushauri nenda kasitishe kama unafanya kaz kwa maslahi na kama una passion ya nutrition unaweza kwenda
 
Utalipwa kama nutritional officer coz hakuna link kati ya nursing na nutrition kiutendaji... pia utajisajili upya kama nutritional officer na pia sallary scale yako itashuka(nutritional officer) nakushauri nenda kasitishe kama unafanya kaz kwa maslahi na kama una passion ya nutrition unaweza kwenda
Asante [emoji120]
 
Samahani naomba kuuliza kwa anaefahamu.
mimi ni muuguzi (ngazi ya diploma) niliomba kujiunga na ngazi ya degree mwaka huu na nimefanikiwa kuchaguliwa kozi ya human nutrition(sua)
swali langu ni kama ifuatavyo
1.je nikimaliza io kozi wakati wa ku renew leseni tnmc nitapewa leseni ya aina gani?..nutritional nurse officer au nutritional officer?
2.salary scale yangu itapanda kama nesi mwenye degree,au itaendelea kua ileile ya diploma,au nitalipwa kama nutritional officer ambaye ambaye mshahara wake ni mdogo kuliko nurse mwenye diploma (tgsd)
Mkuu usitaman tu kupata degree ila zingatia degree unayopata inalink na kazi yako now??

Juzi kati Tamisemi katibu aliongea sana hiyo isue..utamaliza degree ila hutaweza kubadilishiwa mshahara maana hujasomea kile kinachoendana na kazi yako.

Pia kusoma kozi nje ya kazi yako wakati umepata ruhusa kazini,unalipwa mshahara wa serikali ni kosa kubwa, ukijulikana adhabu yake
1.kufungiwa mshahara

2.unaweza kufukuzwa kazi au simamishwa kazi

3.kurudisha mishahara yote kuanzia cku umeenda kusoma kitu tofauti na kazi yako..hata likimbumburuka uko mwaka wa 3 utarudisha mishahara yote..

4. Kushitakiwa serikal zaidi nimeona PCB wanasumbua sana watu.

5.Hata ukimaliza salama ukaacha kazi yako kiholela ukapata ajira kwa hiyo kozi, kama utakuaa umeajiliwa tena Gvt nakupa miezi 4 hutavuka hapo ukiingizwa kwenye mfumo wa mshahara tu, itaonesha wewe ni mwajiriwa tyr so hapo huvuki mpaka urudi kazini kujieleza,
kwa sasa imekuwa hivo, nina mfano hai.

NB.umepewa ushaur na uzoefu mwenye uamuzi ni wewe.
Nawasilisha.
 
Mkuu usitaman tu kupata degree ila zingatia degree unayopata inalink na kazi yako now??

Juzi kati Tamisemi katibu aliongea sana hiyo isue..utamaliza degree ila hutaweza kubadilishiwa mshahara maana hujasomea kile kinachoendana na kazi yako.

Pia kusoma kozi nje ya kazi yako wakati umepata ruhusa kazini,unalipwa mshahara wa serikali ni kosa kubwa, ukijulikana adhabu yake
1.kufungiwa mshahara

2.unaweza kufukuzwa kazi au simamishwa kazi

3.kurudisha mishahara yote kuanzia cku umeenda kusoma kitu tofauti na kazi yako..hata likimbumburuka uko mwaka wa 3 utarudisha mishahara yote..

4. Kushitakiwa serikal zaidi nimeona PCB wanasumbua sana watu.

5.Hata ukimaliza salama ukaacha kazi yako kiholela ukapata ajira kwa hiyo kozi, kama utakuaa umeajiliwa tena Gvt nakupa miezi 4 hutavuka hapo ukiingizwa kwenye mfumo wa mshahara tu, itaonesha wewe ni mwajiriwa tyr so hapo huvuki mpaka urudi kazini kujieleza,
kwa sasa imekuwa hivo, nina mfano hai.

NB.umepewa ushaur na uzoefu mwenye uamuzi ni wewe.
Nawasilisha.

Asante sana mkuu
#nimeogopa kabisa [emoji120]
 
Kwani hakuna manesi wanaoshughulikia mambo ya lishe? Kama wapo sioni tatizo liko wapi kitaaluma, hapo unesi na nutrition vitaendana vizuri kabisa. Issue kubwa ni kuwa ukimaliza itabidi upate recategorization kuwa ofisa lishe na sio nurse tena yaani unafungua njia mpya ya kikazi (unakuwa kada nyingine) hata kama huko utatumia pia elimu (knowledge na skills) ulizopata kwenye u-nurse. Baada ya kusema hivyo, ni vizuri kupata clearance na maelezo toka kwa wakuu wako kwani watu tuna uelewa tofauti.

Samahani naomba kuuliza kwa anaefahamu.
mimi ni muuguzi (ngazi ya diploma) niliomba kujiunga na ngazi ya degree mwaka huu na nimefanikiwa kuchaguliwa kozi ya human nutrition(sua)
swali langu ni kama ifuatavyo
1.je nikimaliza io kozi wakati wa ku renew leseni tnmc nitapewa leseni ya aina gani?..nutritional nurse officer au nutritional officer?
2.salary scale yangu itapanda kama nesi mwenye degree,au itaendelea kua ileile ya diploma,au nitalipwa kama nutritional officer ambaye ambaye mshahara wake ni mdogo kuliko nurse mwenye diploma (tgsd)
 
Kwani hakuna manesi wanaoshughulikia mambo ya lishe? Kama wapo sioni tatizo liko wapi kitaaluma, hapo unesi na nutrition vitaendana vizuri kabisa. Issue kubwa ni kuwa ukimaliza itabidi upate recategorization kuwa ofisa lishe na sio nurse tena yaani unafungua njia mpya ya kikazi (unakuwa kada nyingine) hata kama huko utatumia pia elimu (knowledge na skills) ulizopata kwenye u-nurse. Baada ya kusema hivyo, ni vizuri kupata clearance na maelezo toka kwa wakuu wako kwani watu tuna uelewa tofauti.

Asante mkuu..uhusiano upo mkubwa lakini Tatizo nimeona wakati wa ku update vyeti vyangu nitasajiliwa upya kama nutritional officer hivyo salary yangu pia itashuka kutoka TGHSB -TGSD kwaio sitakua nimefanya kitu cha maana
 
Asante mkuu..uhusiano upo mkubwa lakini Tatizo nimeona wakati wa ku update vyeti vyangu nitasajiliwa upya kama nutritional officer hivyo salary yangu pia itashuka kutoka TGHSB -TGSD kwaio sitakua nimefanya kitu cha maana
Nimekuelewa, lakini pia angalia salary scheme ya hapo ulipo (nursing) na hiyo ya nutrional officer-unaweza ukashuka kwa muda lakini in the long run ikawa na mshahara mkubwa kuliko hapo ulipo (sina uhakika ukweli ni upi lakini ni vizuri kucheck). Swali lingine ni kama unaweza kuomba degree ya nursing (kutegemea na vigezo vyake). Kama ni sawa basi ahirisha usubiri mwakani ili uendelee na kada ya unesi. Lakini kama utaamua hivyo itabidi uwasiliane na TCU ili wa clear jina lako usije ukakwama mwakani. All the best.
 
Nimekuelewa, lakini pia angalia salary scheme ya hapo ulipo (nursing) na hiyo ya nutrional officer-unaweza ukashuka kwa muda lakini in the long run ikawa na mshahara mkubwa kuliko hapo ulipo (sina uhakika ukweli ni upi lakini ni vizuri kucheck). Swali lingine ni kama unaweza kuomba degree ya nursing (kutegemea na vigezo vyake). Kama ni sawa basi ahirisha usubiri mwakani ili uendelee na kada ya unesi. Lakini kama utaamua hivyo itabidi uwasiliane na TCU ili wa clear jina lako usije ukakwama mwakani. All the best.

Poa—Asante
 
Back
Top Bottom