Kaka hiace ya bei hiyo ni kimeo...unapotaka kufanya kitu fanya kitu cha maana lakini hujaweka vizuri unaposema hiace una maana nyingi...super roof,manual,automatic,disel,petrol sijuhi ni ipi ila petrol ambayo ni automatic ambayo si dungu(super roof)ya mwaka 1999 wawezapata lakini napenda kukwambia cheap is exp...ushauri tu kaka..maana mimi pia nipo kwenye biz hizi za hiace