Re:Najaribu Kumsahau lakini Nashindwa

Re:Najaribu Kumsahau lakini Nashindwa

msd

Member
Joined
Nov 26, 2012
Posts
50
Reaction score
8
Mimi ni Kijana wa Kiume,Nimebahatika kuwa na uhusiano na msichana mmoja since amemaliza form six mpaka karibu anakaribia kumaliza chuo ndo mambo yakaanza kwenda out of my expectation,kwa kweli tulikuwa tunapendana sana na tukawa tumetambulishana kwa baadhi ya ndugu zetu,before nilitaka tufunge ndoa akiwa mwaka wa pili kwa sababu nilikuwa na plan yakwenda kufanya Masters,but akawa amepropose mpaka amalize chuo basi tukawa tumekubaliaba,kwa kweli nilikuwa nampa everthing ili asipate vishawishi chuo.
Kuanzia mwezi wa pili mwaka huu akaanza kuwa hapokei/kujibu simu nikimpigia ama niki-sms na hanitafuti mpaka tena nimtafute mimi tofauti na awali alikuwa yupo sharp kunijibu,nikajaribu kumuuliza why anafanya hivyo akawa anajibu masomo yapo tait ndo maana.
Nikaanza kufanya utafiti nikaaja gundua kwamba ameanza kudate na wanaume wengine nikajaribu kumuuliza akasema hana uhusiano wowote ni normal friendship,baada ya hapo akawa amerudi kawaida..
Lakini ilivyo fika mwezi wanne nikawa nje ya Dar es salaam mwezi mzima kikazi,siku nasafiri ndo balaa likaanza kila nikimpigia,nikimtumia sms hajibu mpaka nimpigie rafiki yake nimuombe niongee naye ndo tutaongea,Basi imeenda same situation,kwa kama miezi miwili ikabidi niwache kumtafuta kwa sababu nilikuwa over stressed,Nikashindwa kufanya kazi kwa almost three days,nikawa kama naumwa ndo rafiki yangu mmoja tunaefanya naye kazi aka notice kuna kitu kinanisumbua akaniomba nimuambie basi nikamuambia everthing,akanishauri nijaribu kuacha kuwasiliana naye kwa muda tuone response yake,basi baada ya kama mwezi mmoja akawa amenipigia,nikamuuliza why anafanya hivyo akanijibu steel ananipenda but ameamua tu aishi hivyo,mwezi wa tano nikawa nimerudi Dar nimejaribu kumtafuta ili tuongee lakini ananipiga chenga,Nikawa nimeamua nimuache na maamuzi yake,kwa sababu niliona mm ndo naumia zaidi.
Tumekaa kama week kaanza tena kuni sms,na kuni call,lakini kila akinitafuta anasababisha nianze kumfikiria kwa nini amefanya hivyo na hajawahi kuniambia reason,Lakini trend ikaenda kama week tena akakata tena mawasiliano.
Hebu nisaidieni ili niweze kumtoa kichwani mwangu kwani kila siku namfikiria yeye ukweli bado nampenda.
Lakini vile vile nimeanza kuchukia kupenda katika maisha yangu na sitaki uhusiano wowote kwa muda huu.
 
Mara nyingi ni ngumu sana kusahau kitu au mtu uliekuwa nae au ulichokuwa nacho kwa muda mrefu na kuwekeza sana juu ya huyo mtu au kitu.
Hata kwa huyo binti ni ngumu sana ila jitahidi kujishughulisha na mambo mengine yatakusaidia kusahau...mfano kazi ikiwa ngumu na unajitahidi kuimaliza huwezi anza fikiria mtu bali utakuwa ukitafuta kila njia uweze fanya hiyo kazi.

Keep busy
 
Give yourself a break kwanza kama unajipenda. huyo dada anacheza na emotions zako; ana mtu mwingine na akitibuliwa huko ndipo anapokutafuta. You are kind of 'too nice' for her na anataka anayemsumbua kidogo.

Unafanyaje ili kumtoa.
1. Fikiria kuhusu mabaya yake tu, usijipe nafasi ya kukumbuka kuhusu positive sides zake
2. Think of worst case scenerio, mfano anakuletea ngoma au unafumaniwa naye na vitu kama hivyo.
3. Fikiria hiyo ninjia Mungu anayoitumia ili kukuepusha na mateso makubwa mbeleni iwapo utakuja oana naye.
4. Amini kuna mdada mmoja mzuri ambaye Mungu kakupangia
5. Sali na kushukuru (pambio za kushukuru ziwe kinywani, kwenye simu, computer all the time)
6. Usikimbilie kuanzisha mahusiano mapya mpaka uje upende tena, na belive me itakuwa more beautiful kuliko awali.
 
Pole ndugu ndo mapito hayo ila kuwa na kampani ya marafiki zako, nakumbuka kuna jamaa yangu kidogo adisco kwa sababu ya demu, ila tukamshauri na hatukumwacha akae peke yake, walevi waliongozana naye nasi wazee wa nyama nyama na vioda tukawa naye ili mradi tu asiwe alone na akaanza kufikiria tena, kupenda kubaya
 
Give yourself a break kwanza kama unajipenda. huyo dada anacheza na emotions zako; ana mtu mwingine na akitibuliwa huko ndipo anapokutafuta. You are kind of 'too nice' for her na anataka anayemsumbua kidogo.

Unafanyaje ili kumtoa.
1. Fikiria kuhusu mabaya yake tu, usijipe nafasi ya kukumbuka kuhusu positive sides zake
2. Think of worst case scenerio, mfano anakuletea ngoma au unafumaniwa naye na vitu kama hivyo.
3. Fikiria hiyo ninjia Mungu anayoitumia ili kukuepusha na mateso makubwa mbeleni iwapo utakuja oana naye.
4. Amini kuna mdada mmoja mzuri ambaye Mungu kakupangia
5. Sali na kushukuru (pambio za kushukuru ziwe kinywani, kwenye simu, computer all the time)
6. Usikimbilie kuanzisha mahusiano mapya mpaka uje upende tena, na belive me itakuwa more beautiful kuliko awali.
shukrani kwa mawazo yako mazuri,najitahidi sana kumuomba mungu kila siku
 
Pole ndugu ndo mapito hayo ila kuwa na kampani ya marafiki zako, nakumbuka kuna jamaa yangu kidogo adisco kwa sababu ya demu, ila tukamshauri na hatukumwacha akae peke yake, walevi waliongozana naye nasi wazee wa nyama nyama na vioda tukawa naye ili mradi tu asiwe alone na akaanza kufikiria tena, kupenda kubaya
Shukrani sana,Ndo kitu ninacho jaribu kufanya,najitahidi sana kwenda cinema na kukaa na marafiki
 
huyo alishakuacha muda sana ila uko kwenye reserve list .akituma msg futa bila kusoma simu usipokee
 
mapenzi hua yanaumiza sana hasa ukiweka commitment kwa binti halafu akawa anakuzingua hua inauma sana yamenikuta lakini nikaamua kumwambia me and you basi, iliuma lakini nilizoea ile hali baada ya muda nikamsahau yeye ndio akaanza kunitafuta but nilimwambia NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESION
 
mapenzi hua yanaumiza sana hasa ukiweka commitment kwa binti halafu akawa anakuzingua hua inauma sana yamenikuta lakini nikaamua kumwambia me and you basi, iliuma lakini nilizoea ile hali baada ya muda nikamsahau yeye ndio akaanza kunitafuta but nilimwambia NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESION
Ukweli ndo nilivyotaka kuwachana naye kabisa na kuangalia maisha yangu.
 
Usiogope nenda mwambie the business is over na wala usiogope, name ukishamwambia tu utaona uko relieved. Pole sana kwa yote hayo.
 
Hizo ndo zao mbona mkuu, sisi yalishatukuta hayo sema huwa nachukulia pesa ukikosa ndo roho inauma sana coz mipango yote inaharibika... Tafuta ubaya wake alafu uujengee hoja nzito bt remember the greatest love in the world is to love urself
 
Give yourself a break kwanza kama unajipenda. huyo dada anacheza na emotions zako; ana mtu mwingine na akitibuliwa huko ndipo anapokutafuta. You are kind of 'too nice' for her na anataka anayemsumbua kidogo.

Unafanyaje ili kumtoa.
1. Fikiria kuhusu mabaya yake tu, usijipe nafasi ya kukumbuka kuhusu positive sides zake
2. Think of worst case scenerio, mfano anakuletea ngoma au unafumaniwa naye na vitu kama hivyo.
3. Fikiria hiyo ninjia Mungu anayoitumia ili kukuepusha na mateso makubwa mbeleni iwapo utakuja oana naye.
4. Amini kuna mdada mmoja mzuri ambaye Mungu kakupangia
5. Sali na kushukuru (pambio za kushukuru ziwe kinywani, kwenye simu, computer all the time)
6. Usikimbilie kuanzisha mahusiano mapya mpaka uje upende tena, na belive me itakuwa more beautiful kuliko awali.

hapo kwenye red ndio anatakiwa apafikirie sana! atamsahau tu. kaunga umetoa ushauri bora kabisa kwa huyu jamaa.
 
Broo iyo makitu huwaga yanaumiza sana,ila ikishatokea amnaga jinsi,ila utasahau tu,wanawake wapuuzi sana,mi yalinikuata kama ayo, demu baada kwenda masomoni marekani,na kwa
Kweli tulikua vizuri mno na maandalizi ya kwenda shule nilihusika mno na tulikuwa na mipango yetu mizuri tu baada ya kwenda kama miezi miwili akaniambia awezi uhusiano wa mbali hitvyo tuachana.mshukuru mungu kwa kila jambo huwezi jua amekuepusha na kitu gani.
 
Hizo ndo zao mbona mkuu, sisi yalishatukuta hayo sema huwa nachukulia pesa ukikosa ndo roho inauma sana coz mipango yote inaharibika... Tafuta ubaya wake alafu uujengee hoja nzito bt remember the greatest love in the world is to love urself
''greatest love in the world is to love urself'' Agreed Kaka
 
Kila chenye mwanzo kina mwisho,vumilia na ukimkumbuka tu nenda kijiweni kwa masela kapige stori.
 
never allow loneliness to drive you back into the arms of someone you know you don't belong with....
hata wazungu wana sema sometimes the person you want the most, is the person you're best without
 
na kama ushauri wote hapo juu jaribu Gambe a.k.a Tungi
 
Mapenzi yanatesa sana! Miye nahsi nshamsahau! Ila kikubwa mshukuru mungu kwanza kwani hata hiyo kupropose kufunga ndoa baada ya yeye kumaliza ni mpango wa mungu! So usimlaumu,hakupendi alikuwa anakutumia tu ili amalize shule yake that y kaanza vi2ko mwishoni! Chamsingi mpotezee mazima usipende kukaa peke yako,usipokee sim yake wala kujibu text zake utaumia mwache na uhuru wake ! Japo ni ngumu ila jiridhishe! Ipo siku yataisha na utaona kawaida saana! Kila la kheri na pole!
 
Back
Top Bottom