Mimi ni Kijana wa Kiume,Nimebahatika kuwa na uhusiano na msichana mmoja since amemaliza form six mpaka karibu anakaribia kumaliza chuo ndo mambo yakaanza kwenda out of my expectation,kwa kweli tulikuwa tunapendana sana na tukawa tumetambulishana kwa baadhi ya ndugu zetu,before nilitaka tufunge ndoa akiwa mwaka wa pili kwa sababu nilikuwa na plan yakwenda kufanya Masters,but akawa amepropose mpaka amalize chuo basi tukawa tumekubaliaba,kwa kweli nilikuwa nampa everthing ili asipate vishawishi chuo.
Kuanzia mwezi wa pili mwaka huu akaanza kuwa hapokei/kujibu simu nikimpigia ama niki-sms na hanitafuti mpaka tena nimtafute mimi tofauti na awali alikuwa yupo sharp kunijibu,nikajaribu kumuuliza why anafanya hivyo akawa anajibu masomo yapo tait ndo maana.
Nikaanza kufanya utafiti nikaaja gundua kwamba ameanza kudate na wanaume wengine nikajaribu kumuuliza akasema hana uhusiano wowote ni normal friendship,baada ya hapo akawa amerudi kawaida..
Lakini ilivyo fika mwezi wanne nikawa nje ya Dar es salaam mwezi mzima kikazi,siku nasafiri ndo balaa likaanza kila nikimpigia,nikimtumia sms hajibu mpaka nimpigie rafiki yake nimuombe niongee naye ndo tutaongea,Basi imeenda same situation,kwa kama miezi miwili ikabidi niwache kumtafuta kwa sababu nilikuwa over stressed,Nikashindwa kufanya kazi kwa almost three days,nikawa kama naumwa ndo rafiki yangu mmoja tunaefanya naye kazi aka notice kuna kitu kinanisumbua akaniomba nimuambie basi nikamuambia everthing,akanishauri nijaribu kuacha kuwasiliana naye kwa muda tuone response yake,basi baada ya kama mwezi mmoja akawa amenipigia,nikamuuliza why anafanya hivyo akanijibu steel ananipenda but ameamua tu aishi hivyo,mwezi wa tano nikawa nimerudi Dar nimejaribu kumtafuta ili tuongee lakini ananipiga chenga,Nikawa nimeamua nimuache na maamuzi yake,kwa sababu niliona mm ndo naumia zaidi.
Tumekaa kama week kaanza tena kuni sms,na kuni call,lakini kila akinitafuta anasababisha nianze kumfikiria kwa nini amefanya hivyo na hajawahi kuniambia reason,Lakini trend ikaenda kama week tena akakata tena mawasiliano.
Hebu nisaidieni ili niweze kumtoa kichwani mwangu kwani kila siku namfikiria yeye ukweli bado nampenda.
Lakini vile vile nimeanza kuchukia kupenda katika maisha yangu na sitaki uhusiano wowote kwa muda huu.
Kuanzia mwezi wa pili mwaka huu akaanza kuwa hapokei/kujibu simu nikimpigia ama niki-sms na hanitafuti mpaka tena nimtafute mimi tofauti na awali alikuwa yupo sharp kunijibu,nikajaribu kumuuliza why anafanya hivyo akawa anajibu masomo yapo tait ndo maana.
Nikaanza kufanya utafiti nikaaja gundua kwamba ameanza kudate na wanaume wengine nikajaribu kumuuliza akasema hana uhusiano wowote ni normal friendship,baada ya hapo akawa amerudi kawaida..
Lakini ilivyo fika mwezi wanne nikawa nje ya Dar es salaam mwezi mzima kikazi,siku nasafiri ndo balaa likaanza kila nikimpigia,nikimtumia sms hajibu mpaka nimpigie rafiki yake nimuombe niongee naye ndo tutaongea,Basi imeenda same situation,kwa kama miezi miwili ikabidi niwache kumtafuta kwa sababu nilikuwa over stressed,Nikashindwa kufanya kazi kwa almost three days,nikawa kama naumwa ndo rafiki yangu mmoja tunaefanya naye kazi aka notice kuna kitu kinanisumbua akaniomba nimuambie basi nikamuambia everthing,akanishauri nijaribu kuacha kuwasiliana naye kwa muda tuone response yake,basi baada ya kama mwezi mmoja akawa amenipigia,nikamuuliza why anafanya hivyo akanijibu steel ananipenda but ameamua tu aishi hivyo,mwezi wa tano nikawa nimerudi Dar nimejaribu kumtafuta ili tuongee lakini ananipiga chenga,Nikawa nimeamua nimuache na maamuzi yake,kwa sababu niliona mm ndo naumia zaidi.
Tumekaa kama week kaanza tena kuni sms,na kuni call,lakini kila akinitafuta anasababisha nianze kumfikiria kwa nini amefanya hivyo na hajawahi kuniambia reason,Lakini trend ikaenda kama week tena akakata tena mawasiliano.
Hebu nisaidieni ili niweze kumtoa kichwani mwangu kwani kila siku namfikiria yeye ukweli bado nampenda.
Lakini vile vile nimeanza kuchukia kupenda katika maisha yangu na sitaki uhusiano wowote kwa muda huu.