Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,293
Salamu kwenu waungwana,
Nimekuwa nikiwasikia watu wazima wakidai kwamba kitovu cha mtoto mchanga kinaweza kutumika kama limbwata ambalo halina expire date. Nasikia mwanaume aliyefanyiwa limbwata la kitovu cha mwanae hafurukuti. Hii ndio sababu kuu ya wakwe kutoruhusu vitovu vya wajukuu zao vizikwe au vihifadhiwe na mama zao kwani huenda wakafanya huo mchezo wa kuwainamisha watoto wao.
Binafsi sijui kama ni kweli au lah ila kwa mnaojua ukweli wa hii mtujuze zaidi.
Process nzima ya kutengeneza hilo limbwata me siijui hivyo usijeniuliza how.
Ila kama ni kweli basi dunia ina mamboo. Wanaume tulieni mtalishwa hadi mavi kisa tabia zenu za kuonja onja.
Nimekuwa nikiwasikia watu wazima wakidai kwamba kitovu cha mtoto mchanga kinaweza kutumika kama limbwata ambalo halina expire date. Nasikia mwanaume aliyefanyiwa limbwata la kitovu cha mwanae hafurukuti. Hii ndio sababu kuu ya wakwe kutoruhusu vitovu vya wajukuu zao vizikwe au vihifadhiwe na mama zao kwani huenda wakafanya huo mchezo wa kuwainamisha watoto wao.
Binafsi sijui kama ni kweli au lah ila kwa mnaojua ukweli wa hii mtujuze zaidi.
Process nzima ya kutengeneza hilo limbwata me siijui hivyo usijeniuliza how.
Ila kama ni kweli basi dunia ina mamboo. Wanaume tulieni mtalishwa hadi mavi kisa tabia zenu za kuonja onja.