Re. Kiingereza..na dada zetu wa ki tz

Never mind the fact that is not com exam or UE let the point stand as it putting into consideration that the msg has been delivered.
 
Usilolijua litakusumbua, wangejua wakenya hawajui kiingereza wala kiswahili bali lugha za makabila yao wala wasingejidhalilisha hivyo. Wangejua ukweli kuhusu hali za maisha hasa kwa watu wa kawaida huko Kenya wala wasingepoteza muda wao. Wenzenu wakitoka huko na kuja Bongo wanaona wako peponi ikilinganishwa na kwao ambapo wezi wachache wamekomba kila kitu. Wangewachunguza wanavyoogopa hata kununuliana bia na vitu vingine vidogo wangeachana na kamradi hako ka hasara na aibu. Kiiingereza mbona ni lugha kama nyingine sema tofauti yake ni kwamba inaongelewa na watu wengi duniani?

Yaani umenena sawa kabisa. Wangejua wakenya wanavyoongea zaidi venacular languages. Nenda Nairobi, kikuyu ktk matatu, sokoni
 
Wengine hilo zoezi la kutongozana tulishalipitia miaka mingi iliyopita hivi sasa tunapambana na zoezi la kutawala mahusiano ndani ya hizi ndoa zetu tu.
 
Hehe ilo nalo neno, kuna issue niliwahi kusikia. Kuwa kuna jamaa English yaan British alikuja tz. Alikimbia homecare sasa kufika bongo wacha wadada wamrukie kisa mzungu likaa 8 yrs hajuilikani kakimbilia wapi ,then alipoamua kurud.kashikwa kurejeshwa mental health home care kuendelea na matibabu but bcz he was English wanawake wapate nn aliporud anajua kiswahili anahadithia jinsi girls walivyokuwa wakimfukuzia hali ya kuwa mental prob
 
Nachukia mijanaume inayoongea kiingereza, raha ya kutongozwa mtu atumie kiswahili loh......
 
sounds awesome, nakumbuka nikiongea na demu yoyote mkali kwa kingereza cha Marekani anajichekesha na tukiwa ndani ni romance kwenda mbele, anacheka mimi nakupiga finga
 
Hivi kuna watu bado wanatongoza kwa kutumia mdomo?Hebu acheni mambo analogia nyieeeeeee.........hizi siyo nyakati za "Njiwa peleka salamu"
 
hayo mambo yapo sehemu nyingi tu,kuna wengine ambao sio wa tz wanaishi nje ya nchi wanapenda watu wakiongea kifaransa,au kingereza chenye accent ya ki faransa.mimi kama mimi huwa napenda wadada wa tanga wanavyoongea kiswahili cha tanga,naona raha tu kuwasikiliza
 
Ulimbukeni na ushamba! Ni bora tukajidai na lugha zetu za asili na kiswahili. Maana hao wazungu wanajifunza kiswahili na lugha zingine za kikabila.
 
Nimegundua dada zetu wa ki Tz wanavutiwa sana na wanaume wanoongea Kiingereza...haijalishi wa nchi gani.
Pia huwa ni vigumu kukataa kama wakitongozwa kwa kidhungu.... ndo maana wakaka wa kikenya wanatumalizia dada zetu... mfano hai ni wadada wengi wanaofanya kazi ofisi moja na wakaka wakenya eti nao wana lafudhi ya kikenya kwenye kiinglish chao...au kama kuna mgeni ambaye hajui kiswahili ofisini basi utakuta anajistorisha na huyo mkaka kwa kizungu kwa sauti alafu utakuta anacheka hata kama kitu hakichekeshi.
Ovyo kabisa hao!
 
Hahahahahahahahahahahahaha

kweli kabisa

(sili,silali na kuota wewe)
 
Back
Top Bottom