Natasha Ismail
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 747
- 640
Naunga mkono hoja,ofisini kwetu kuna kabinti kanakaribia kumaliza ofisi sababu ya waghana niliowaleta kwenye project kwa kweli ni noma.
wakaka wa kikenya wanamaliza wadada zako?. sasa unataka wewe ndo uwamalize hao dada zako?. mimi ningekuwa na uwezo ningefanya kampeni duniani kote kuwa wanaume waje tanzania wajenge mapenzi na dada zetu. sisi wenyewe ( wanaume wa tanzania) hatuwatoshi hawa wadada, bado unazuia wageni, unataka nini? kuwa na moyo wa upendo kijana , wapende dada zako, wape furaha ya kuwa na wanaumeNimegundua dada zetu wa ki Tz wanavutiwa sana na wanaume wanoongea Kiingereza...haijalishi wa nchi gani.
Pia huwa ni vigumu kukataa kama wakitongozwa kwa kidhungu.... ndo maana wakaka wa kikenya wanatumalizia dada zetu... mfano hai ni wadada wengi wanaofanya kazi ofisi moja na wakaka wakenya eti nao wana lafudhi ya kikenya kwenye kiinglish chao...au kama kuna mgeni ambaye hajui kiswahili ofisini basi utakuta anajistorisha na huyo mkaka kwa kizungu kwa sauti alafu utakuta anacheka hata kama kitu hakichekeshi.
Any entertaining, adoring and loving lady in lieu of a tranquil deluxe night out here at JF?