Mwenyekiti wa kijiji amemega ardhi ya shamba la kijiji na eneo la ofisi akauza kwa tajiri mmoja halafu kila anayejaribu kuhoji anaundiwa kesi ya uongo na yule tajiri halafu anawekwa ndani kwa kuhonga hadi kila mtu ameogopa na ukizingatia maisha ya kijijini ukiwekwa ndani familia yako inateseka sana.
Naomba msaada wa kisheria, ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kumshughulikia huyu fisadi?
Naomba msaada wa kisheria, ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kumshughulikia huyu fisadi?