Re: Ardhi ya kijiji imeporwa.

KARLMARX.

Member
Jun 3, 2012
5
0
Mwenyekiti wa kijiji amemega ardhi ya shamba la kijiji na eneo la ofisi akauza kwa tajiri mmoja halafu kila anayejaribu kuhoji anaundiwa kesi ya uongo na yule tajiri halafu anawekwa ndani kwa kuhonga hadi kila mtu ameogopa na ukizingatia maisha ya kijijini ukiwekwa ndani familia yako inateseka sana.

Naomba msaada wa kisheria, ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kumshughulikia huyu fisadi?
 
Wanakijiji unganeni,andikeni barua na kuisaini wote then waoneni Haki ardhi hawa ni wanaharakati na wanasheria wa maswala ya dhuluma ya ardhi.Pia pitieni na msome sheria ya ardhi za vijiji muangalie iwapo Mwenyekiti amekosea ama la! Isije mnalalamika tu kumbe akuna sheria iliovunjwa! Vipi vikao vya madiwani wenu akijausishwa pia?
 
Back
Top Bottom