RCO Iringa anaongoza kwa kuomba rushwa

RCO Iringa anaongoza kwa kuomba rushwa

Homa la jiji

Senior Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
129
Reaction score
28
Mimi ni mmoja ya waathirika wa utendaji wa RCO huyu aliniomba rushwa ya sh. Milioni 3 nikapuuza mpaka sasa miezi 7 faili langu naambiwa bado linaendelea na uchunguzi na amekua akifanya hivyo kwa baadhi ya watu ambao anajua wana uwezo wa kifedha hata kama ushahidi hakubani yeye anaweka uzito ili uogope utoe pesa.

Kuna siku tulikua tumekaa nje ya ofisi yake watu wanne tukisubiri huduma kila mmoja wetu alizungumzia kuombwa rushwa tena sio chini ya milioni moja na usipo toa anaanza kujenga mazingira magumu kwenye tuhuma zako ili uwe mtuhumiwa kamili au anakuchelewesha makusudi kwakukuambia uchunguzi bado unaendelea miezi mingi itapita yaani kamwa mungu mtu huyu RCO

Mimi binafsi nimechoshwa na utendaji wake na nina ushahidi wa kutosha nilishawahi kuufikisha TAKUKURU nao wakamgwaya wakaniambia kua niupeleke kwanza ushahidi ule kwa RPC akishindwa kunisikiliza bas ndipo nirudi kwao yaani anaweza akakuzungusha kwa jambo la wazi kabisa du anakera
 
kama kweli takukuru wamemuogopa huyo rco basi nchi hii imekwishaaaa haiweZekaniki
 
Hivi huu mtandao ni kwa ajili ya uzushi na mipasho au?????
 
kama kweli takukuru wamemuogopa huyo rco basi nchi hii imekwishaaaa haiweZekaniki

takukuru bora ifutwe tu na kazi ya kupambana na rushwa ipewe kikosi maalum ambayo itaundwa na baraza la usalama wa taifa ambayo huundwa na Rais,IGP,Mkuu wa majeshi na mkurugenzi wa usalama ambapo watawafanyia vetting maafisa kutoka idara hizo kwa ajili ya kupambana na rushwa Hawa TAKUKURU sawa na panya tu hawawezi kumfunga paka kengele
 
Mimi ni mmoja ya waathirika wa utendaji wa RCO huyu aliniomba rushwa ya sh. Milioni 3 nikapuuza mpaka sasa miezi 7 faili langu naambiwa bado linaendelea na uchunguzi na amekua akifanya hivyo kwa baadhi ya watu ambao anajua wana uwezo wa kifedha hata kama ushahidi hakubani yeye anaweka uzito ili uogope utoe pesa.

Kuna siku tulikua tumekaa nje ya ofisi yake watu wanne tukisubiri huduma kila mmoja wetu alizungumzia kuombwa rushwa tena sio chini ya milioni moja na usipo toa anaanza kujenga mazingira magumu kwenye tuhuma zako ili uwe mtuhumiwa kamili au anakuchelewesha makusudi kwakukuambia uchunguzi bado unaendelea miezi mingi itapita yaani kamwa mungu mtu huyu RCO

Mimi binafsi nimechoshwa na utendaji wake na nina ushahidi wa kutosha nilishawahi kuufikisha TAKUKURU nao wakamgwaya wakaniambia kua niupeleke kwanza ushahidi ule kwa RPC akishindwa kunisikiliza bas ndipo nirudi kwao yaani anaweza akakuzungusha kwa jambo la wazi kabisa du anakera

Ukiamua kumwaga ugali mwaga na mboga kabisa utakuwa umemuweza mpinzani wako vinginevyo ukichelewa akamwaga mboga utakuwa umeshindwa ataonekana ana maamuzi magumu kukuzidi.


We umeleta taalifa za rco hapa kwann usitaje jina mpaka kituo anachotoka??????,ndio.umkomoe kabsaaa.hatachukua tena rushwa.vinginevyo hii ni majungu kama yale ya magazeti pendwa.UDAKU.
 
Ukiamua kumwaga ugali mwaga na mboga kabisa utakuwa umemuweza mpinzani wako vinginevyo ukichelewa akamwaga mboga utakuwa umeshindwa ataonekana ana maamuzi magumu kukuzidi.


We umeleta taalifa za rco hapa kwann usitaje jina mpaka kituo anachotoka??????,ndio.umkomoe kabsaaa.hatachukua tena rushwa.vinginevyo hii ni majungu kama yale ya magazeti pendwa.UDAKU.

wataka jina la nani na kituo cha kazi kipi? Soma tena majibu yamo kwenye taarifa ya mleta hoja. Au nikusaidie?
Jina lake ni RCO na kituo cha kazi ni mkoa wa Iringa. Kazi kwako.
 
Mimi ni mmoja ya waathirika wa utendaji wa RCO huyu aliniomba rushwa ya sh. Milioni 3 nikapuuza mpaka sasa miezi 7 faili langu naambiwa bado linaendelea na uchunguzi na amekua akifanya hivyo kwa baadhi ya watu ambao anajua wana uwezo wa kifedha hata kama ushahidi hakubani yeye anaweka uzito ili uogope utoe pesa.

Kuna siku tulikua tumekaa nje ya ofisi yake watu wanne tukisubiri huduma kila mmoja wetu alizungumzia kuombwa rushwa tena sio chini ya milioni moja na usipo toa anaanza kujenga mazingira magumu kwenye tuhuma zako ili uwe mtuhumiwa kamili au anakuchelewesha makusudi kwakukuambia uchunguzi bado unaendelea miezi mingi itapita yaani kamwa mungu mtu huyu RCO

Mimi binafsi nimechoshwa na utendaji wake na nina ushahidi wa kutosha nilishawahi kuufikisha TAKUKURU nao wakamgwaya wakaniambia kua niupeleke kwanza ushahidi ule kwa RPC akishindwa kunisikiliza bas ndipo nirudi kwao yaani anaweza akakuzungusha kwa jambo la wazi kabisa du anakera

ueleze kesi iliopo kwa RCO kuna wa wanasheria wanapita humu watakupa ufafanuzi au nenda kwa mwanasheri wa serikali umweleze kesi yako
 
Kwa nini mmeiondoa post yangu au na huku mnachukua mnungula nawashangaa sana taarifa hii sio ya udaku ni ya kweli na nilipo ipost nilikua najua mtakula mnungula kwa taarifa yenu nina ushahidi wakutosha tena wakitaalam na msiwe na roho za hivyo maana yakupost hili nikwakua sina msaada ktk jambo langu na simhofii mtu yeyote mana nawafumbua watu wasiibiwe
 
Huyu mtoa Uzi kwanza anatakiwa aseme anatuhumiwa kosa gani la kijinai ili tuweze kumjua vizuri.Maana makosa ya kijinai na upelelezi unaweza usitoe matokeo chanya ingawa mtuhumiwa kulitenda kosa.Hivyo tupe yote hadi uliyoyafanya na siyo kutupa tuhuma za kuombwa rushwa tu nawe sema ulichokosea hadi uchunguzwe na huyo RCO
 
Kwa nini mmeiondoa post yangu au na huku mnachukua mnungula nawashangaa sana taarifa hii sio ya udaku ni ya kweli na nilipo ipost nilikua najua mtakula mnungula kwa taarifa yenu nina ushahidi wakutosha tena wakitaalam na msiwe na roho za hivyo maana yakupost hili nikwakua sina msaada ktk jambo langu na simhofii mtu yeyote mana nawafumbua watu wasiibiwe
Mkuu post yako si hii hapa? Nani kaiondoa? Huyo RCO apewe noma
 
Mpatie kama unazo, ndo serikali ya ccm
 
Back
Top Bottom