Mkuu ni Rsm na sio rcm
Kama ni Mtanzania sidhani Kama huna hata Ndugu,jamaa,rafiki au hata rafiki Mwenye Ndugu au Jamaa ambaye ni POLISI. Tuwe na hekima kidogo kwenye taarifa za VIFO...Kwa kuwa huyu Marehemu ameacha familia,ndugu,jamaa na marafiki ambao wanaingia humu JF na kusoma #%*# Kama ulioandika. Tafakari.polisi akifa hata sisikitiki wanakula rushwa zetu sana
polisi akifa hata sisikitiki wanakula rushwa zetu sana
Kwa masikitiko makubwa jesh la polisi limempoteza aliyekuwa Rcm katika chuo cha polisi moshi ndugu wille aliyefariki jana usiku R.I.P KAMANDA..
polisi akifa hata sisikitiki wanakula rushwa zetu sana
polisi akifa hata sisikitiki wanakula rushwa zetu sana
Alikuwa Regimental Sergeant Major (RSM). R.I.P mkuu. Jeshi limepoteza mtu makini. Poleni Wafiwa.
umenikumbusha mbali kwenye kufunga na kufunguaA.K.A Return Spring Mechanism
polisi akifa hata sisikitiki wanakula rushwa zetu sana