Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,991
Kuna tetesi nitapewa mimi Ukuu wamkoa Kilimanjaro... naomba ushirikiano wenuTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi wafuatao;
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa Nlimu Wa Mkoa wa Kilimanjaro.
2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.
Taarifa iliyotolewa leo tarehe 16 Mei, 2017 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi inaeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi hao kuanzia tarehe 15 Mei, 2017.
Mikurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam 16 Mei, 2017
hivi ukiwa msukuma ni lazima uwe bishii??Hii habari siyo ya kweli. OVA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi wafuatao;
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa Nlimu Wa Mkoa wa Kilimanjaro.
2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.
Taarifa iliyotolewa leo tarehe 16 Mei, 2017 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi inaeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi hao kuanzia tarehe 15 Mei, 2017.
Mikurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam 16 Mei, 2017
Bado vumbi halijatua tu?Naona baadhi yenu mmejaribu kudadavua sababu za kuachia ngazi kwa waheshimiwa hawa bila mafanikio. Nasubiri vumbi litue nije nimwage humu mbivu na mbichi za chanzo cha kujiuzuru kwao. Hii serikali yetu ya kimabavu inachuma dhambi kubwa sana.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi wafuatao;
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa Nlimu Wa Mkoa wa Kilimanjaro.
2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.
Taarifa iliyotolewa leo tarehe 16 Mei, 2017 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi inaeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi hao kuanzia tarehe 15 Mei, 2017.
Mikurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam 16 Mei, 2017
Nakshukuru wewe kwa kuandika NZITO, naona unastahili PhDUmeandika upuuzi!
... "kama unajitambua" maana yake nini? Nisaidie mhe.Hii awamu ya viwanda kama unajitambua huwezi kufanya nayo kazi mkuu.
Kuna tetesi nitapewa mimi Ukuu wamkoa Kilimanjaro... naomba ushirikiano wenu
Msiniandame sana JF.. kama naharibu mnani inbox..
Kwa nini huulizi kama wamejiona hawatoshi au kama kuna tuhuma juu yao wakaamua kuwajibika kabla hawajawajibishwa?Majaji wamechoka kupelekeshwa na muhimili ulio jichimbia chini sana