Nahisi tutaanza kuwa na magaidi kamaunyanyasaji utaendelea hivi, binafsi siwezi kuchapwa kibao hadharani nikamwacha eti kwa sababu tu nataka kuendelea kuwa DMO, hapo lazima pachimbike bila jembe! upuuzi huu wanaweza kuuvumulia wenye roho laini tu! mpaka mahakama ije inipe haki ni baada ya muda gani? hapo akirusha kofi na mimi namrudishia kofi bila kujali polisi watanifanya nini! huu ni upumbavu wa hao wanaojiita viongozi uchwara kuendeleza unyanyasaji wa raia usio na maana! shame on the appointing body! Ukiona mtu anateua wapumbavu kumuwakilisha ujue na yeye ni Mpumbavu, mtu makini hawezi kuteua wpuuzi kumuwakilisha mahali fulani!Mkuu...na wanao pigwa nao wanawaendekeza....yaani kunywa maji unapigwa then unasubiri mahakama ndo isemee utu wako?????
Bora nikae hukuhuku bila hata kuwa na audience na watu wa namna hiyo...........kuua bila kukusudia yaweza kuwa kichwa cha habari
huyo RC nyie mwacheni tu, awaulize wenzake waliotangulia hapo tanga, hawajui watu wa tanga huyo, atanyambulika kama samaki siku moja ajishangae, ye anavyoona watu mjini tanga wako kimya kimya anajua atawachezea, amuulize makamba kilomkuta enzi zake, labda mganga mkuu aweke ubinadamu sana mbele. au amuulize kalembo kitu gani kimemtoa hapo tanga. haya we mwache na hivi ni mwana mama huyu, asije akapata siku zake bila ukomo! hawajui huko eeh
Nahisi tutaanza kuwa na magaidi kamaunyanyasaji utaendelea hivi, binafsi siwezi kuchapwa kibao hadharani nikamwacha eti kwa sababu tu nataka kuendelea kuwa DMO, hapo lazima pachimbike bila jembe! upuuzi huu wanaweza kuuvumulia wenye roho laini tu! mpaka mahakama ije inipe haki ni baada ya muda gani? hapo akirusha kofi na mimi namrudishia kofi bila kujali polisi watanifanya nini! huu ni upumbavu wa hao wanaojiita viongozi uchwara kuendeleza unyanyasaji wa raia usio na maana! shame on the appointing body! Ukiona mtu anateua wapumbavu kumuwakilisha ujue na yeye ni Mpumbavu, mtu makini hawezi kuteua wpuuzi kumuwakilisha mahali fulani!
Anaitwa nani huyo mkuu wa mkoa?
Nakuunga mkono mkuu, stori imekaa kama imeletwa na Nape baba wa majungu ambaye leo amepewa darasa na Lisu akabaki anakenua meno kama anatongozwa!habari iko kimbeya zaidi, sema nani kzabwa na ni wapi na ilikuaje; tuko kwenye zama za kutajana............ usisababishe wengine tulio ma_DMO kuulizwa na wake zetu kama tumezabwa vibao funguka zaidi wewe ki***
unaongea kama Nape
nyambaff
Mkuu ahsante kwa swali zuriii, hakika hata mie nilizamilia kuliuliza hapa!! Mkuu follow me, tupe vya Tanga - Line mkuu.Mkuu, huko T-line ndio nyumbani. Ungenisaidia sana kuweka hapa yaliyowakuta hao wakulu! huku mikoani tuliko tunaona tu wakulu wanakuja mkoani kwetu na kuhamishwa kumbe kuna Story behind the uhamisho wao! Hebu tumegee mkulu tujue kinachoendelea kwetu...!opcorn:
Anaitwa nani RC huyu?
Angefaa sana enzi za ukoloni wa kijerumani 1885-1918 lakini si Tanzania
ya leo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga ni CHIKU- aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke- ni mwanamama machachari kwelikweli! Jambo dhahiri na hulka yake- HAJIAMINI! Yeye hutia mashaka kila kitu, kwa kadiri ninavyomfahamu hasa wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Temeke.
Na kama ni kweli amefanya hivyo- basi nadhani sasa ameanza kupaa- ameanza kulewa madaraka, amejikuza! Doh huyo Mganga! Hakuwa na mkono akaukunja ukawa ngumi na sio nyanya?
Tatizo la inferiority
complex kwa viongozi wetu! akilinganisha elimu yake na ya daktari
anahisi yuko low upstairs sasa ukichanganya na kitendo cha dokta kunywa
maji anajiona kama kazalauriwa, hivyo lazima atake kujitutumua kuwa ana
power! shame on the appointing body again!
Mkuu, huko T-line ndio nyumbani. Ungenisaidia sana kuweka hapa yaliyowakuta hao wakulu! huku mikoani tuliko tunaona tu wakulu wanakuja mkoani kwetu na kuhamishwa kumbe kuna Story behind the uhamisho wao! Hebu tumegee mkulu tujue kinachoendelea kwetu...!opcorn:
Mkuu wa Mkoa wa Tanga ni CHIKU- aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke- ni mwanamama machachari kwelikweli! Jambo dhahiri na hulka yake- HAJIAMINI! Yeye hutia mashaka kila kitu, kwa kadiri ninavyomfahamu hasa wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Temeke.
Na kama ni kweli amefanya hivyo- basi nadhani sasa ameanza kupaa- ameanza kulewa madaraka, amejikuza! Doh huyo Mganga! Hakuwa na mkono akaukunja ukawa ngumi na sio nyanya?
hili tukio limetokea mlalo.Habari yenyewe imekaa kishigongo zaidi. Wilaya fulani? tetesi? kupigwa kibao kwa sababu ya kunywa maji? I mean, what is the message here?