Nipe Maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 335
- 190
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Hanang', ambapo ameshuhudia uchimbaji wa kisima katika Kijiji cha Endasworld, kata ya Gitting.
Kisima hicho ni miongoni mwa visima 25 vinavyochimbwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na Shirika la Human Relief, kwa gharama ya shilingi bilioni moja.
Kisima hicho ni miongoni mwa visima 25 vinavyochimbwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na Shirika la Human Relief, kwa gharama ya shilingi bilioni moja.