PreGE2025 RC Sendiga achukia kukuta zahanati haitumiki, atoa agizo hili

PreGE2025 RC Sendiga achukia kukuta zahanati haitumiki, atoa agizo hili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameagiza Zahanati ya Kijiji cha Muungano, Kata ya Laghanga, kuanza kutoa huduma kwa wananchi ifikapo Aprili 30, 2025.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Agizo hilo limetolewa alipofanya ziara katika zahanati hiyo, ambayo ujenzi wake ulianza Septemba 2022 kwa nguvu za wananchi.

 
Tangu September 2022?, mwaka huu ndio wamegundua Kuna zahanati hapo Laghanga ambayo haijaanza kufanya kazi?
 
Back
Top Bottom