RC Paul Makonda tengua kauli tafadhali

RC Paul Makonda tengua kauli tafadhali

Hivyo Makonda ana akili gani mpaka tupoteze muda kumjadili? Huyu si yule F F F F F F F.
 
Wakati mataifa mengine bado wanapoteza watu kwa maelfu kila siku sisi ati tunatangaza sherehe ya kuishinda corona (mkesha)

Hata kama umeishinda kweli basi si ufanye kimya kimya matangazo ya nini shekhe!!
 
Watu kibao wanakufa w unasema nn?? toa upupu wako hapa

Hivi kwanini hawa viongozi wanaopenda kuonekana kwenye television wanataka kutulisha matango pori? Ni hatari sana kwa nchi nzima kutuaminisha kuwa corona imethibitiwa ili hali watu wetu wengi hawajapimwa na kujua nani ana virusi na nani hana!!! Huo ujasiri wa kusema tusherehekee kwa kuwa tumeishinda corona unatoka wapi ili hali watu wanazika ndugu zao kila leo? Makonda tafadhali uwe makini na kauli zako utakuja sababisha watu kupata corona kwa upotoshaji wako.
 
Polen na majukum

Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua ma baa na kwenda disko

Ikiwa Kama muumin ambae naungana na magufuli katika kuamin kua MUNGU ndie Alie tulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa

Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat

Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena

Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona

Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda huyu huyu wa matamko ndio atengue kauli au makonda yupi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania hakuna Jambo ambalo mpo serious kwani mmezoea mzaha na kejeli kwa kila Jambo liwe la hatari au la heri!
Namshangaa mkuu wa mkoa wa dar, badala ya kuisisitiza wananchi waendelee kujikinga na kuchukua tahadhari Kama zinavyoelekezwa na wataalamu wa afya yeye anawatuma kukusanyika bila tahadhari! Hii ni aibu kwa aliyemteua kwani anamuacha bila kumdhibiti wakati akipingana na wataalamu wa afya! Hivi maambukizi na vifo vikiongezeka baada ya watu kwenda kuruka majoka atakuwa tayari kuwajibika?
Watu wa dar chukueni tahadhari Tena kubwa kwani huyu mtoa zaka za damu atawamaliza!
 
Pale dini inapogongana na siasa. Zote ni biashara
Rwanda madhehebu yalichangia mauaji. Congo ukatoliki umesaidia kumweka Tshekedi.
Bongo kila rais huwa chaguo la Mungu na wapinzani huwa magaidi na mashetani.
Hii ni awamu nzuri ya wanasiasa kutumaliza kimtindo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M
Polen na majukum

Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua ma baa na kwenda disko

Ikiwa Kama muumin ambae naungana na magufuli katika kuamin kua MUNGU ndie Alie tulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa

Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat

Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena

Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona

Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu
Mtakuwa na bashite miaka mingine mitano na tena wakati huu akiwa waziri wa mambo ya ndani kama hamtaachana na ccm mwaka huu.
 
Jamaa ameondoka na kauli yake ya mwisho baada ya kukabidhi ofisi, akasema anajuta kutofanikisha kuwapima tezi dume wakazi wa Dar.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa balaa sana.
Apumzike kwa Amani
 
Back
Top Bottom