Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
RC wa Dar, Paul Makonda amesema kwa mujibu wa Sheria ya Watu wenye Ulemavu ya mwaka 2010 namba 9, kifungu cha 31 kila Mwajiri mwenye wafanyakazi 20 na zaidi anatakiwa kutenga 3% kwa ajili ya walemavu
Asema jijini Dar kuna Makapuni, Mashirika na Taasisi zisizopungua 300 ambazo hayajatoa fursa kwa watu wenye Ulemavu kupata ajira
Amesisitiza "Hatuombi wapate ajira kwa upendeleo kwa kuwa ni Walemavu bali ni matakwa ya kisheria yanayowataka waajiri wote kuzingatia sheria"
Matokeo yake ni kwamba ukatili wa kuwaua watoto wanaozaliwa na ulemavu kwa kuonekana ni mzigo utaondoka kwa kuwa itaonekana kuwa wananafasi ya kufanya vizuri katika jamii
Aidha, amesisitiza kuwa jiji la Dar lazima liwe la mfano katika kusaidia walemavu ambao ni asilimia 9.3 ya Watanzania wote
Bongo 5
Asema jijini Dar kuna Makapuni, Mashirika na Taasisi zisizopungua 300 ambazo hayajatoa fursa kwa watu wenye Ulemavu kupata ajira
Amesisitiza "Hatuombi wapate ajira kwa upendeleo kwa kuwa ni Walemavu bali ni matakwa ya kisheria yanayowataka waajiri wote kuzingatia sheria"
Matokeo yake ni kwamba ukatili wa kuwaua watoto wanaozaliwa na ulemavu kwa kuonekana ni mzigo utaondoka kwa kuwa itaonekana kuwa wananafasi ya kufanya vizuri katika jamii
Aidha, amesisitiza kuwa jiji la Dar lazima liwe la mfano katika kusaidia walemavu ambao ni asilimia 9.3 ya Watanzania wote
Bongo 5