digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,914
- 14,420
- Thread starter
- #21
Sina shida mkuu na wala sihitaji ushauri wako Mimi najitosheleza,labda wewe ndo nikushauri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari ni nzuri maana hizo fedha ni kodi ya watanzania na si wana bunju A.
Lakini kwa nini kila ukiweka uzi unamalizia na Mavuvuzela/Vibaraka wa mabeberu? Kwa mimi naona unashida na unahitaji mshauri nasaha
Sent using Jamii Forums mobile app