JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Kwa miaka minne mfulululizo 2019 wilaya ya Kiteto mkoani Manyara imetajwa kupata hati safi, hili limemfurahisha Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe Alexander Mnyeti kusema linafanya apate usingizi
Katika hatua hiyo Mnyeti amesema hatua hiyo inaashiria kuwa kazi inayofanywa na watumishi wa Serikali ni njema inaridhisha
Mbali na pongezi hizo amemtaka mkurugenzi wa halmashauri kuendelea kutenga fedha 10% kwa ajili ya vijana wakinamama na walemavu ambazo ni takwa la kisheria
Katika hatua hiyo Mnyeti amesema hatua hiyo inaashiria kuwa kazi inayofanywa na watumishi wa Serikali ni njema inaridhisha
Mbali na pongezi hizo amemtaka mkurugenzi wa halmashauri kuendelea kutenga fedha 10% kwa ajili ya vijana wakinamama na walemavu ambazo ni takwa la kisheria