JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Mkuu wa mkoa wa Mayara, Alexander Mnyeti, ameonyesha kuridhishwa na kazi anazofanya Mkurugenzi mtendaji wa Halm ya Kiteto TAMIMU KAMBONA, kuhusu kusimamia na utekelezaji miradi ya ujenzi, maendeleo ya wananchi.
Amesema miradi inayotekelezwa Kiteto ya ujenzi imekuwa mfano kwa halm za mkoa wa Manyara na hata mikoa mingine ya jirani kuja kujifunza
Amesema miradi inayotekelezwa Kiteto ya ujenzi imekuwa mfano kwa halm za mkoa wa Manyara na hata mikoa mingine ya jirani kuja kujifunza