Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Mkumbushie asisahau na kupeleka vyeti kesho mamlaka ya utumishi mkuu usikumbuke kumwaga sifa za marehem tu ukasahau hilo ambalo ni muhimu kweliNa kashfa,kejeli,dharau,majungu,uzushi,wengine wakamwombea kifo na wengine wakaacha kuhubiri neno la Mungu na kuanza kumjadili huyu mtu muhimu kwa nchi hii,hajawahi kugive up!!!! Stay blessed brother
Nayasema haya, yote kuonyesha kukubali uwezo mkubwa wa ndugu Makonda kiakili na jinsi anavyothihirisha uwezo wake kushughulikia changamoto za wanadar.
Watumishi wameweza kutengenezewa unafuu kumiliki nyumba zao kwa kuuziwa viwanja vilivyopimwa,tena very cheap!...watu kupatiwa vipimo vya afya zao bure,wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda vidogo kupewa mikopo kwa riba nafuu. Hakika hajawahi kutokea kama huyu mwanaume jembe mkoa wa Dar.!!
Again stay blessed my brother na wengine waige haya,na ikiwezekana mheshimiwa raisi akupatie wizara flan muhimu uisimamie maana una uwezo kaka
Inategemea na umri wako kama wewe umejua wakuu wa mkoa baada Meck Sadic sasa utafananisha na nani.omba razi kwa bandiko lako katika historia ya wakuu wa mikoa Tanzania kwa miongo mingi sana ajawahi kutokea wa kufanana na makonda ukiweka mbali masual ya vyeti na nini makonda ni wa kuigwa na wakuu ea mikoa waliosalia,nina imani hata we mwenyewe nikikuuliza makonda unamchukia kwa lipi wala huna jibu zaidi utasema atoe vyeti!!!! na blaa blaa nyiingi.
umri wangu wamepita kumi hapa,jipe jibu ntakuwa na umri ganiInategemea na umri wako kama wewe umejua wakuu wa mkoa baada Meck Sadic sasa utafananisha na nani.
Basi ndiyo wale wanaoambiwa mtu mzima hovyo wewe.umri wangu wamepita kumi hapa,jipe jibu ntakuwa na umri gani
tueshimiane aisee, matokeo chanya kwake nayaona kuanzia mahosipitaĺini na kwingineko kama nyie hamuoni wengine wanaona na pia sio lazima nyie muone pia lakini pia aina ya msg yako inaweza onyesha pia najibizana na mtu wa aina gani.Basi ndiyo wale wanaoambiwa mtu mzima hovyo wewe.
Huwezi kushabikia matamko inabidi uone matokeo chanya yakitokea sasa kama unamkubali mtu kwa matamko unawaza kwa makalio
Guandong China pamoja na uzalishaji mkubwa duniani wana maonyesho mara mbili tu kwa mwaka . Dar ina nini cha kuonyesha kila mwezi kama sabasaba tu kunakuwaga hakuna kitu cha Dar.Hate or love him, you have got to admit this chap is creative.
=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.
=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.
=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.
=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza
=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.
=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.
=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.
=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.
=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.
=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.
=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.
=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.
=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza
=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.
=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.
=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.
=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.
=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.
=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.
=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.
=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.
=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza
=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.
=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.
=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.
=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.
=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.
Ndio maana watu wa Dar tunakuwa kama tumechanganyikiwa maana kabla hujaanza hili kuna Tamko la Bashite jipya kila siku unarudi nyumbani Tandale kuna mke mwenzie Happy wa Kinondoni nae anatoa tamko