RC Makonda atangaza neema kwa wamiliki wa viwanda vidogo, maonyesho ya bidhaa za ndani sasa kufanyika kila mwezi

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,252


=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.

=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.

=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.

=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza

=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.

=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.

=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.

=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.

=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.
 
Na kashfa,kejeli,dharau,majungu,uzushi,wengine wakamwombea kifo na wengine wakaacha kuhubiri neno la Mungu na kuanza kumjadili huyu mtu muhimu kwa nchi hii,hajawahi kugive up!!!! Stay blessed brother

Nayasema haya, yote kuonyesha kukubali uwezo mkubwa wa ndugu Makonda kiakili na jinsi anavyothihirisha uwezo wake kushughulikia changamoto za wanadar.

Watumishi wameweza kutengenezewa unafuu kumiliki nyumba zao kwa kuuziwa viwanja vilivyopimwa,tena very cheap!...watu kupatiwa vipimo vya afya zao bure,wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda vidogo kupewa mikopo kwa riba nafuu. Hakika hajawahi kutokea kama huyu mwanaume jembe mkoa wa Dar.!!

Again stay blessed my brother na wengine waige haya,na ikiwezekana mheshimiwa raisi akupatie wizara flan muhimu uisimamie maana una uwezo kaka
 
Ndio maana watu wa Dar tunakuwa kama tumechanganyikiwa maana kabla hujaanza hili kuna Tamko la Bashite jipya kila siku unarudi nyumbani Tandale kuna mke mwenzie Happy wa Kinondoni nae anatoa tamko
Haaaaaaaaaaa sijui tatizo lake ni nini
 
Ndio maana watu wa Dar tunakuwa kama tumechanganyikiwa maana kabla hujaanza hili kuna Tamko la Bashite jipya kila siku unarudi nyumbani Tandale kuna mke mwenzie Happy wa Kinondoni nae anatoa tamko
Na kweli ni kuchanganyikiwa. Yaani RC jana kaongea na mkurugenzi wa NSSF, leo kawaita wafanyabiashara wapeleke maombi ya mikopo? yaani hiyo concept imechakatwa lini kujua hata risk yake na mambo mengine yanayoendana na ukopeshaji? Hii mifuko wanaenda kuiua kabisa. Haishangazi wastaafu wanazungushwa kulipwa mafao yao, lakini mkurugenzi wa NSSF yuko tayari kumpa RC fedha za kukopesha wafanyabiashara. Baada ya hii awamu kuondoka (kama itaridhia kuondoka) awamu itakayofuatia itakuwa na kazi kubwa ya kuirejesha hii nchi mahali pake!
 
Ningeshauri mitaji na kuwatengea maeneo maalumu kwa ajili ya viwanda vidogo na vya kati kama alivyofanya kwa wenye showroom.

Maana viwanda vya kusaga vingi vipo kwenye makazi ya watu na pia vitaongeza mapato serikalini.
 
Back
Top Bottom