RC Makonda atangaza neema kwa wamiliki wa viwanda vidogo, maonyesho ya bidhaa za ndani sasa kufanyika kila mwezi

Na kashfa,kejeli,dharau,majungu,uzushi,wengine wakamwombea kifo na wengine wakaacha kuhubiri neno la Mungu na kuanza kumjadili huyu mtu muhimu kwa nchi hii,hajawahi kugive up!!!! Stay blessed brother

Nayasema haya, yote kuonyesha kukubali uwezo mkubwa wa ndugu Makonda kiakili na jinsi anavyothihirisha uwezo wake kushughulikia changamoto za wanadar.

Watumishi wameweza kutengenezewa unafuu kumiliki nyumba zao kwa kuuziwa viwanja vilivyopimwa,tena very cheap!...watu kupatiwa vipimo vya afya zao bure,wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda vidogo kupewa mikopo kwa riba nafuu. Hakika hajawahi kutokea kama huyu mwanaume jembe mkoa wa Dar.!!

Again stay blessed my brother na wengine waige haya,na ikiwezekana mheshimiwa raisi akupatie wizara flan muhimu uisimamie maana una uwezo kaka
Mkumbushie asisahau na kupeleka vyeti kesho mamlaka ya utumishi mkuu usikumbuke kumwaga sifa za marehem tu ukasahau hilo ambalo ni muhimu kweli
 
Huyu Bashite akome kuchezea NSSF zetu mie nimefanya kazi mgodini miaka kumi naumia chini ya ardhi nimetoka nimeathirika mgongo na mapafu halafu nazungushwa malipo yangu zaidi ya mil 70 wanaenda kupewa watu ambao hawajahi kuchangia hata siku moja eti wafungue viwanda siwatupe hela zetu siye wanachama tukafungue kwanza.
Kama vipi wakakope bank kwanza mifuko ya jamii hii si kazi yake kujenga viwanda.
 
omba razi kwa bandiko lako katika historia ya wakuu wa mikoa Tanzania kwa miongo mingi sana ajawahi kutokea wa kufanana na makonda ukiweka mbali masual ya vyeti na nini makonda ni wa kuigwa na wakuu ea mikoa waliosalia,nina imani hata we mwenyewe nikikuuliza makonda unamchukia kwa lipi wala huna jibu zaidi utasema atoe vyeti!!!! na blaa blaa nyiingi.
Inategemea na umri wako kama wewe umejua wakuu wa mkoa baada Meck Sadic sasa utafananisha na nani.
 
makonda pamoja simpendi ila ni creative kuliko vijana wengi wa kitz ambao wanasubiri ajira. Muda mwingine naona magu akaze tu.
 
umri wangu wamepita kumi hapa,jipe jibu ntakuwa na umri gani
Basi ndiyo wale wanaoambiwa mtu mzima hovyo wewe.
Huwezi kushabikia matamko inabidi uone matokeo chanya yakitokea sasa kama unamkubali mtu kwa matamko unawaza kwa makalio
 
Basi ndiyo wale wanaoambiwa mtu mzima hovyo wewe.
Huwezi kushabikia matamko inabidi uone matokeo chanya yakitokea sasa kama unamkubali mtu kwa matamko unawaza kwa makalio
tueshimiane aisee, matokeo chanya kwake nayaona kuanzia mahosipitaĺini na kwingineko kama nyie hamuoni wengine wanaona na pia sio lazima nyie muone pia lakini pia aina ya msg yako inaweza onyesha pia najibizana na mtu wa aina gani.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hate or love him, you have got to admit this chap is creative.
Guandong China pamoja na uzalishaji mkubwa duniani wana maonyesho mara mbili tu kwa mwaka . Dar ina nini cha kuonyesha kila mwezi kama sabasaba tu kunakuwaga hakuna kitu cha Dar.

Yaani Creative ideas ndio hizo matamko na ndoto za mchana zisizo na uhalisia wa hali halisi ya wananchi
 


=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.

=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.

=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.

=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza

=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.

=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.

=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.

=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.

=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.


Maonesho ya bidhaa ni forum ambayo inatumiwa na wazalishaji wa bidhaa duniani kote kuonesha new products, new techonology, na ni mahali pa kukutana na kufanya mikataba mbali mbali ya biashara. Maonesho ya biashara siyo gulio la kuuza bidhaaa. Sijui kama ni vyema kuyaita maonesho ya biashara kama yatafanyiaka kila mwezi, kwa sababu, in any way there is no new products, new technology, and new business contracts every months. Kama ni nafasi ya kuuza kila mwezi sawa!
 
NSSF na michango ya wafanyakazi, yaani baadala ya Nssf kutafuta mbinu za kuboresha maisha ya wachangiaji hata kwa kuwapa mikopo nafuu na michango yao ikaendelea kuwa kama Bond...
 


=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.

=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.

=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.

=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza

=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.

=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.

=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.

=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.

=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.


mwambie atupe vyeti original kwanza atakama anakingiwa kifua na baba yake , tunataka vyeti original kwanza hatuwezi kuwa na mtu ambaye ameiba vyeti afu tukaendelea kumuamini, ukishakuwa sio mwaminifu hata kwa kitu kidogo uwezi kuwa mwaminifu kwa vitu vikubwa
 




=>Serikali ya rais Magufuli inahimiza viwanda.

=>Sisi wasaidizi wake tunahangaika kuhakikisha viwanda vinapatikana ktk mikoa yetu.
=>Kwenye viwanda vikubwa tunaendelea vizuri, vya kati tunaendelea ila vidogo bado hatujafanya vizuri.

=>Tumeona ni vema tuongeze kazi na nguvu kuongeza nguvu kwa wamiliki wa viwanda vidogovidogo.

=>Wenye viwanda vidogo wanahitaji kuongeza

=>Nimeongea na mkurugenzi wa NSSF na nimempa maombi NSSF iwekeze kwenye viwanda.

=>Nawatangazia wafanyabiashara wenye viwanda vidogo kufika katika ofisi ya NSSF ili kueleza kiwango cha mtaji na kaisi cha mtaji unachohitaji.

=>Naelekeza manispaa zote tuna 10% kila manispa akina mama, vijana na walemavu na kwa mkoa huu tuna fedha isiyopungua bilioni 6, hizi zitolewe kwa wenye viwanda vidogo.

=>Machinga waanze kuuza bidhaa zinazozalishwa na wenye viwanda vidogovidogo.

=>Tuna mpango wa kuazisha soko la maonyesho ya bidhaa kwa wenye viwanda vidogo vidogo kwa mwezi mara moja na maonyesho yatafanyika Mnazi mmoja.
 
Kwaiyo ndo mana hii mifuko ya jamii haitaki kulipa watu pesa zao kisa maujinga ya huyu mtoto wa mfalme
 
Ndio maana watu wa Dar tunakuwa kama tumechanganyikiwa maana kabla hujaanza hili kuna Tamko la Bashite jipya kila siku unarudi nyumbani Tandale kuna mke mwenzie Happy wa Kinondoni nae anatoa tamko

Ndiooooooooo
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom