monomotapa
JF-Expert Member
- Oct 30, 2012
- 437
- 325
RC Makonda amemkumbusha Spika wa Bunge kuhusu kuweka vyombo vya kuwapima nani anatumia au alikwisha kutumia madawa ya kulevya.
Naamini hilo mtalipinga kwa nguvu zenu zote na kumtaka RC Makonda ajieleze kwenu, ati kwa kuwadharau. Lakini tunawaamini kuwa mtakuwa kitu kimoja kukubali kupimwa ili kulinda heshima yenu na ya Bunge.
Ukweli huwa inatia shaka baadhi ya tabia zinazojitokeza kwa baadhi ya watendaji wetu ndani ya mjengo... Hakuna mtu aliye juu ya sheria. Naunga mkono hoja hii BIG UP RC