Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
kutoka ukuu wa mkoa mpaka ukuu wa madawa ya kulevya mbona alikataa kutii amri za bunge sasa kwenda mbele ya kamati yeye kama nani kumkumbusha spika
atuondolee kero humu jijini kuna matatizo kibao ikiwemo matakataka jiji lake linanuka yeye annahangaika na bunge doh
atuondolee kero humu jijini kuna matatizo kibao ikiwemo matakataka jiji lake linanuka yeye annahangaika na bunge doh