Wewe umeshiriki wapi?Mbowe anajitapa ni tajiri lakini hutamuona akitoa msaada wala kuhudhuria harambee yoyote.
Sio lazima! Pesa ni za kwake anaamua ampe Nani, wakati gani, kwa kificho au kurusha kwenye mitandao ya kijamii....ni yeye tu ndio anaamuaMbowe anajitapa ni tajiri lakini hutamuona akitoa msaada wala kuhudhuria harambee yoyote.
Hana hela yoyoteSio lazima! Pesa ni za kwake anaamua ampe Nani, wakati gani, kwa kificho au kurusha kwenye mitandao ya kijamii....ni yeye tu ndio anaamua
Mbowe anajitapa ni tajiri lakini hutamuona akitoa msaada wala kuhudhuria harambee yoyote.
Mbowe anajitapa ni tajiri lakini hutamuona akitoa msaada wala kuhudhuria harambee yoyote.
Kenge wa njano kabisa , hutaki mmeo atajwe?We jamaa huwa sikuelewi uko kama teja. Bila kumtaja Mbowe au Chadema huna mchango mwingine. Ndio maana hatuendelei nchi hii kwa vichwa kama chako! You're the most boring member humu ndani ya jukwaa kama hujui.
Mbowe anatoa Sana misaada hajitangazi kwenye media waislam wnamsemo wao unapotoa mkono wa kulia hakikisha mkono wa kisheria haufahamu... Kifupi usitoe kwenye kamera toa gizani wote tungetoa kwenye kamera ili tuonekane ingekuwaje... Pamoja na hayo makonda ana mazuri yake shida anapenda kujionesha sna hata akitoka pipi anataka aonekaneMbowe anajitapa ni tajiri lakini hutamuona akitoa msaada wala kuhudhuria harambee yoyote.
Mnazidisha siasa kwenye mambo ya kawaida mwisho mtajikuta mnaharisha bure! Mbowe ameingiaje hapa jamani!!! Siasa zimetugawa sana kipindi hiki kuliko wakati wowote, ni hatari.Mbowe anajitapa ni tajiri lakini hutamuona akitoa msaada wala kuhudhuria harambee yoyote.
"...Mtoapo sadaka msiwe kama wanafiki. Mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume!"
Kenge wa njano kabisa , hutaki mmeo atajwe?
Huko sio kusaidia bali ni kutaka kujionyesha ni mtendaji mema ili kujiosha na alichomtenda wa Ubelgiji.