Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,976
Mkoa wa Dares Salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa.
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.