Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.
Wala asiwe na wasiwasi maana yaliyomo humo kwenye simu yatafumukia kwenye media... na huyo mwanzishaji ataisaidia polisi kuelekeza simu ilipo....hahahah akili za panzi
Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.
Hapo kwa namna moja au nyingine anawatuhumu waandishi wa habari kiaina...jamaa anapenda umaarufu wa haraka ila njia za kutumia kuwa maarufu zina walakini..
hapana hiyo simu atakuwa ameificha makusudi yeye mwenyewe kwasababu anazo zijua yeye.
mm makonda simuani hata kidogo kwasababu mara nyingi huwa anaongea vitu ambavyo haviwezekani.