Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
Si mlianza na PhD ya pale kua hakuna thesis , hii ya Daudi pia itaisha.
Unaweza kuonyesha jua saa sita za usiku?Ili kukata mzizi wa fitna makonda akioneshe cheti chake hadharani.....
Ova
Na wewe unajiita great thinker halafu unauliza swali la kipuuzi eti alifikaje? SeriousKwa hiyo huko kwingine alifikaje bila kuwa na cheti cha form 4?
Ina maana five na six alifikaje?
asubuh na mapema waandish wa habari wangeitwa
Safi sana Makonda GoLicha ya kuandamwa na tuhuma za kughushi vyeti, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hawezi kuzungumzia suala hilo kwani majibu yake yapo mtandaoni sakata lilipoanzia.
Makonda amesema hayo leo (Ijumaa) alipoulizwa swali na wanahabari kuhusu uhakika wa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa alinunua vyeti na kutumia jina lisilo lake.
"Maswali ya mitandaoni yanaishia mitandaoni siko hapa kupoteza focus (mwelekeo).Ukiona maneno mengi yanaibuka kwenye ishu ya dawa za kulevya ndiyo ujue vita imefika penyewe,"amesema Makonda.
Chanzo: Mwananchi
Nimekupenda buuure!nimechekaaAnamsubiri Lissu kwenye kesi ya Katiba ya Mbowe, atayasema yote kwa amri ya mahakama.
Swali: Shaidi twambie elimu yako
Jibu: (Kwa kusita kidogo) Nina elimu ya chuo kikuu.
Swali: Unaweza kuiambia mahakama elimu yako kwa kukutajia shule ulizosoma
Jibu: (Kwa kufuta jasho anasita kutoa jibu)
Jaji: Ebu jibu swali uliloulizwa shaidi
Jibu: anatoa majibu kwa kujikanyaga
Swali: Shaidi ebu twambie kama unamjua mtu anaitwa Daudi Albert Bashite
Jibu: Simjui
Swali: Unaweza kutambua picha ya mtu huyu (anatoa kitambulisho chenye picha ya Makonda)
Jibu: Picha ni yangu ila kitambulisho sikijui
Swali: (Akielekea meza ya majaji) naomba kitambulisho iki kichukuliwe kama kidhibiti namba..
Swali: Unamtambua mtu anayejulikana (akimtaja mtu mwenye vyeti vyake)
Maswali yakiendelea: hali ya shaidi inabadilika anapata pressure na mahakama inahairishwa kwa muda
waliwai kudai hati ya muungano ilipoletwa waliikataa katakata . wacha dawa iwaingie hakuna namnahata akivitoa mtasema ni vya kugushi.. kwani mna maana nyie. muacheni aendelee na kazi zake na nyie endeleeni na ya kwenu. hata hivo cheti hicho mnachotaka haikuwa criteria ya kuchaguliwa kwake.