johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,987
- 142,006
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Amos Makalla amesema yeye ndio kamleta Diamond Platinum Kufanya Show Mwanza na kusababisha Mkutano wa Chadema ukose Wahudhuriaji
Makalla amesema Chadema Wamekulia za uso hivyo wasimlaumu Diamond bali wamlaumu yeye aliyewaleta
Makalla amesema Diamond Platinum ni mkubwa kuliko Chadema na kamwe Mahali alipo Diamond Chadema hauwezi kufurukuta
Source: Twitter account ya John Heche
Mlale Unono😀😀🔥
Makalla amesema Chadema Wamekulia za uso hivyo wasimlaumu Diamond bali wamlaumu yeye aliyewaleta
Makalla amesema Diamond Platinum ni mkubwa kuliko Chadema na kamwe Mahali alipo Diamond Chadema hauwezi kufurukuta
Source: Twitter account ya John Heche
Mlale Unono😀😀🔥