RC Kilimanjaro: Tumevunja shamba la Mbowe kulinda mazingira

upload_2017-6-21_14-38-43.png


Maji ya mto weruweru yakiporomoka kutoka juu ya mlima Kilimanjaro, shamba la Mbowe liko mbali na huu mto.

upload_2017-6-21_14-41-44.png


Mfereji wa maji unaoitwa mfereji wa mzungu zamani ulitumiwa na wakulima wa kahawa ya Lambo estates kabila ya mashamba hayo kutaifishwa na serikali, unapata maji kutoka mto weruweru ambao wakulima wa kahawa, migomba, mahindi, maharagwe, viazi, mbogamboga ndio hutumia maji hayo kinyweshea mashamba yao.

Mkuu wa wilaya ya Hai anataka Mbowe asilime mita 60 kutoka kwenye mfereji huu na asitumie pump kujaza tank za maji na kutumia mfumo wa kumwagilia wa drip irrigation.

_MG_0022.JPG
 
Wapuuzi tu kuna siku tutaweka list ya watu wanaoharibu vyanzo vya maji mtashangaa
Mwambie huyo anae ongea ujinga aende hapo maili sita kabla ya kuvuka mto Weruweru aangalie mkono wa kulia aone shamba liliopo hapo linavyo lima mpaka mtoni. Wasitufanye wajinga hawa watu bhana.
Aende Arusha akifika USA RIVER kabla ya kuingia mji wa USA aangalie kulia aone wawekezaji walivyo lima hadi mwisho wa mto USA.
Akitoka aingie shamba la Dolly aone anacho ongea kama kiko realistic
Kuna siku Mungu atalipa machungu yetu
 
ni unyama uliopitiliza
Mbowe anasema vijana 100 wamepoteza ajira lakini haelezi wangapi wameathirika kiafya kwa kuharibu mazingira Na haelezi vizazi vijavyo vingapi vitaathirika chanzo cha maji kikikaushwa na kilimo chake
 
View attachment 528163

Maji ya mto weruweru yakiporomoka kutoka juu ya mlima Kilimanjaro, shamba la Mbowe liko mbali na huu mto.

View attachment 528168

Mfereji wa maji unaoitwa mfereji wa mzungu zamani ulitumiwa na wakulima wa kahawa ya Lambo estates kabila ya mashamba hayo kutaifishwa na serikali, unapata maji kutoka mto weruweru ambao wakulima wa kahawa, migomba, mahindi, maharagwe, viazi, mbogamboga ndio hutumia maji hayo kinyweshea mashamba yao.

Mkuu wa wilaya ya Hai anataka Mbowe asilime mita 60 kutoka kwenye mfereji huu na asitumie pump kujaza tank za maji na kutumia mfumo wa kumwagilia wa drip irrigation.

_MG_0022.JPG
Niliwahi kufika hapa kwa Kamanda sikumbuki kuona mto ila nakumbuka kuona mfereji.
Hivi siku hizi hata mifereji inalindwa na NEMC??
 
View attachment 528163

Maji ya mto weruweru yakiporomoka kutoka juu ya mlima Kilimanjaro, shamba la Mbowe liko mbali na huu mto.

View attachment 528168

Mfereji wa maji unaoitwa mfereji wa mzungu zamani ulitumiwa na wakulima wa kahawa ya Lambo estates kabila ya mashamba hayo kutaifishwa na serikali, unapata maji kutoka mto weruweru ambao wakulima wa kahawa, migomba, mahindi, maharagwe, viazi, mbogamboga ndio hutumia maji hayo kinyweshea mashamba yao.

Mkuu wa wilaya ya Hai anataka Mbowe asilime mita 60 kutoka kwenye mfereji huu na asitumie pump kujaza tank za maji na kutumia mfumo wa kumwagilia wa drip irrigation.

_MG_0022.JPG
Usiite mfereji ita tawi la mto lililochepushwa ukichepusha mto huwezi ita mfereji hilo ni tawi la mto ule ule kuna mito ina matawi mfano kuna mto Ruaha mkubwa na Mdogo yote ni matawi tu ya mto mkubwa huwezi ita mto ruaha Mdogo na mto ruaha mkubwa kuwa ni mifereji go to hell
 
Mbowe anasema vijana 100 wamepoteza ajira lakini haelezi wangapi wameathirika kiafya kwa kuharibu mazingira Na haelezi vizazi vijavyo vingapi vitaathirika chanzo cha maji kikikaushwa na kilimo chake

Hakuna chanzo cha maji kinachoanzia shambani kwa Mbowe, maji yanatokea kilomita nyingi juu mlimani
 
Usiite mfereji ita tawi la mto lililochepushwa ukichepusha mto huwezi ita mfereji hilo ni tawi la mto ule ule kuna mito ina matawi mfano kuna mto Ruaha mkubwa na Mdogo yote ni matawi tu ya mto mkubwa huwezi ita mto ruaha Mdogo na mto ruaha mkubwa kuwa ni mifereji go to hell

Huo mfereji miaka ya nyuma haukuwepo, ulichimbwa na wakulima wa kizungu wa kahawa kwa ajili ya shamba lao la Lambo estates kwenye miaka ya ..40, ajabu sana leo unaitwa chanzo cha maji ya mto weruweru!!
 
Hakuna chanzo cha maji kinachoanzia shambani kwa Mbowe, maji yanatokea kilomita nyingi juu mlimani

Chanzo sio lazima kuwe Na chemu chemu hapo ni kuwa kuna watu wengine mbele yako wanategemea hayo maji waweza kuwa hata kilomita elfu moja kutoka kwako kwa ajili Ya kunywa kupikia nk

hivyo inabidi ukae mbali ili usiharibu uoto wa asili utunzao maji ili yapate nafasi ya kujitanua yakiwa safi kimazingira na kiusafi yawafikie wengine walio mbali na wewe.pia mito ina viumbe hai wanatakiwa wakue bila kuvurugwa na shughuli za kibinadamu.hii dunia sio ya binadamu tu ni ya viumbe wengine pia wanatakiwa kupewa nafasi
 
Kwa hali ya kawaida Mwenyekiti Mbowe ameonyesha umahiri kwenye Chama na Siasa kwa ujumla. Kama Serikali inatumia rasilimali zake zote zikiwamo watu na viongozi kumpiga vita na bado anaendelea kudunda basi yuko 'always a step ahead..'
Kitu cha muhimu ni Mwenyekiti Mbowe kutobishana nao kwenye vyombo vya habari kwani bado Mkuu wa Wilaya au Mkoa si saizi yake.
Kwa kuwa wanaowatuma hawawezi kujitokeza hadharani basi hawawezi kushinda hii vita ..

mbowe5.jpg


Nadhani kuna tatizo kwa hawa watendaji wa serikali
 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amesema kuwa hatua zilizochukuliwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gellasius Byakanwa za kuondoa miundombinu ya umwagiliaji katika shamba la Kilimanjaro Veggies si za kisiasa bali ni taratibu za kisheria za kulinda vyanzo vya maji.

Mghwira alitoa kauli hiyo jana alipotembelea shamba hilo lililopo Kijiji cha Nshara ili kujionea hali ya uharibifu wa mazingira uliofanywa katika shamba hilo linalomilikiwa na Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

“Sheria iko wazi, inasema tusifanye shughuli zozote za kibinadamu zenye madhara kwenye vyanzo vya maji ndani ya mita 60 kwa mujibu wa sheria na shughuli hii ina madhara makubwa kwa mazingira na hata kwa binadamu,” alisema Mghwira.

“Shughuli hii nzuri na ni uwekezaji mkubwa. Ninavyofahamu kilimo cha strawberry kikishatema maji lazima yaende mahali hata kama unatumia umwagiliaji wa kisasa wa matone. Maji yanakuwa na madhara kwa binadamu wanayoyatumia.”

Mghwira alisema kuwa licha ya mmiliki wa shamba hilo kukubaliana na mkuu wa wilaya kuwa amevunja sheria na angeondoa mazao yake ifikapo Mei 23 mwaka huu, hakufanya hivyo na badala yake alianza kulima mazao mapya.

Imeelezwa kuwa Mbowe alishawahi kuomba viongozi wa mkoa katika kikao cha RCC kuitishwa kikao ambacho kitajadali masuala ya mazingira na umuhimu wa kuheshimu umuhimu wa mazingira. Kikao hicho kilifanyika lakini RC akasema anashindwa kuelewa kwanini Mbowe ameshindwa kuheshimu.

Akizungumzia uharibifu huo, Mbowe alisema kuwa kwa sasa vijana zaidi ya 100 wamepoteza ajira lakini pia anajadiliana na wanasheria wake kuona nini kinafanyika kutokana na hatua hiyo aliyoiita ya uonevu wa serikali.

Chanzo: Mwananchi
Wewe Ana wewe wewee Huuwezi huo mkoa siku si nyingi utalia tu!! Wewe utaweza pambana na majabali FA Mbowe JSelesini na yale mamilioneo wa Mtown wewe!! utakwisha
 
Ukishaingia ccm jua umeanza safari ya kuelekea jehanamu. asilimia kubwa ya makada na wanachama wa ccm wasipokuwa makini wataingia motoni, maana ni wanafiki, siasa kwao ni uhasama na chuki kwa watu wengine

Ili tuone kuwa huyu mkuu wa mkoa ana nia kweli ya kulinda mazingira, ashughulikie wengine wote ambao wamejenga au kulima karibu na vyanzo vya maji au kingo za mito. Ina maana Kilimanjaro nzima aliyekiuka taratibu za mazingira ni Mbowe tu?

Akishindwa kuchukua hatua kwa wengine waliokiuka taratibu za mazingira, tutamchukulia kuwa naye ni wale wale.

Tena ngoja nimkumbushie barua ya kulalamika mtu aliyejenga karibu kabisa na kingo za mto Rau (Wakati wa RC Gama) lakini hakuna hatua zilichukuliwa hadi leo!
 
Back
Top Bottom