johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Mkuu wa mkoa wa Mara Salum Happi amesema serikali haijarejesha Ada katika shule zake.
Happi amewataka wananchi kupuuza uzushi huo.
===
Mkuu wa mkoa wa Mara Bw. Ally Hapi amewataka wananchi kupuuza taarifa za baadhi ya watu wanaosambaza kuwa serikali imerejesha ada mashuleni jambo ambalo niuongo na wanapaswa kuchukuliwa hatua kali za kisheria wanaosambaza uzushi huo.
Hapi ametoa kauli hiyo wakati akikabidhiwa madarasa 113 Wilaya ya Rorya yanayotokana na fedha za maendeleo na UVIKO-19 ambapo wilaya ya Rorya ilipokea bilioni 2.3.
Source: ITV habari
Happi amewataka wananchi kupuuza uzushi huo.
===
Mkuu wa mkoa wa Mara Bw. Ally Hapi amewataka wananchi kupuuza taarifa za baadhi ya watu wanaosambaza kuwa serikali imerejesha ada mashuleni jambo ambalo niuongo na wanapaswa kuchukuliwa hatua kali za kisheria wanaosambaza uzushi huo.
Hapi ametoa kauli hiyo wakati akikabidhiwa madarasa 113 Wilaya ya Rorya yanayotokana na fedha za maendeleo na UVIKO-19 ambapo wilaya ya Rorya ilipokea bilioni 2.3.
Source: ITV habari