RC Gambo afiwa na dada yake

RC Gambo afiwa na dada yake

Kwa masikitiko makubwa natangaza kifo Cha Dada yangu mpendwa Bi Mwajuma Gambo (akitoka yeye ni mimi) kilichotokea Jana tarehe 04/10/2018 kwenye Hospital ya Taifa Muhimbili Dar Es Salaam.

Mazishi yatakuwa siku ya Jumamosi tarehe 06/10/2018 Saa 6 Mchana kwenye makaburi ya MCHIKICHINI Ilala Dar Es Salaam.

Msiba upo nyumbani Kariakoo mtaa wa Mheza Karibu na Shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa. Mwaka huu tumepata mtihani mwingine baada ya kumpoteza tena mama yetu mzazi. Kazi ya Mungu haina Makosa!

Mwenyezi Mungu amjalie dada yetu kauli thabiti kaburini.

View attachment 887247
pole dogo Gambo. ni njia yetu sote hiyo.
haichagui nani atangulie nani afuate.

kuna watu walitaka kumtanguliza ndugu Lissu. usijeshangaa kuona wanatangulia wao na/au ndugu zao. Mungu si Mrisho wala Daudi wala John.
 
dada mzuri hivyo 'amekwenda' kweli kila nafsi ita onja umauti! RIP dada!
 
Binti alikuwa mbichi kabisa jameni
 
dada bado mdogo na mrembo aisee.

Njia yetu moja.R.I.P
 
Pole kwa Mhe. na familia, Mungu awape faraja. Amina.
 
Kwa masikitiko makubwa natangaza kifo Cha Dada yangu mpendwa Bi Mwajuma Gambo (akitoka yeye ni mimi) kilichotokea Jana tarehe 04/10/2018 kwenye Hospital ya Taifa Muhimbili Dar Es Salaam.

Mazishi yatakuwa siku ya Jumamosi tarehe 06/10/2018 Saa 6 Mchana kwenye makaburi ya MCHIKICHINI Ilala Dar Es Salaam.

Msiba upo nyumbani Kariakoo mtaa wa Mheza Karibu na Shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa. Mwaka huu tumepata mtihani mwingine baada ya kumpoteza tena mama yetu mzazi. Kazi ya Mungu haina Makosa!

Mwenyezi Mungu amjalie dada yetu kauli thabiti kaburini.

View attachment 887247
Lo pole sana ndg Gambo kwa madhira yaliyokupata.
Kuondokewa na mama na dada kipindi kifupi ni simanzi kubwa.
Ila ni mapenzi ya Mungu.
Faraja ya Mungu muweza yote iwe nawe.
Amen.
 
Pole sana Masiga,sisi sote ndiyo njia yetu..
Allah akupe Moyo wa subira Inshallah.
 
Sehemu ya Rambirambi ikajenge Muhimbili kwenye kuboresha chumba alicholazwa hadi umauti ukamkuta.
 
Pole sana Masiga,sisi sote ndiyo njia yetu..
Allah akupe Moyo wa subira Inshallah.
😀😀😀😀😀
Amejisahau akatambulisha id yake sasa tutakua tunamtag tena kwa kashifa ili ajifunze.
Isipokoa nampa pole na rambirambi apeleke kwenye miradi ya maendeleo.
Kuna mdau humu amamaliziaga OVA.
 
Kwa masikitiko makubwa natangaza kifo Cha Dada yangu mpendwa Bi Mwajuma Gambo (akitoka yeye ni mimi) kilichotokea Jana tarehe 04/10/2018 kwenye Hospital ya Taifa Muhimbili Dar Es Salaam.

Mazishi yatakuwa siku ya Jumamosi tarehe 06/10/2018 Saa 6 Mchana kwenye makaburi ya MCHIKICHINI Ilala Dar Es Salaam.

Msiba upo nyumbani Kariakoo mtaa wa Mheza Karibu na Shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa. Mwaka huu tumepata mtihani mwingine baada ya kumpoteza tena mama yetu mzazi. Kazi ya Mungu haina Makosa!

Mwenyezi Mungu amjalie dada yetu kauli thabiti kaburini.

View attachment 887247
safiii safii safii
 
Back
Top Bottom