Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,515
- 9,313
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ametoa siku 6 kwa Wafugaji Wilayani Mbarali kuondoa Mifugo katika Hifadhi ya Bonde la Ihefu na Ruaha kabla hawajachukuliwa hatua kali
Amesisitiza "Nimetoa siku sita na nawaonya kwa Mfugaji yeyote atakayekaidi agizo hilo na kuleta mapigano katika uondoaji wa wafugaji hao kwa kurusha mkuki basi vikosi vya Majeshi vitatumia mabomu na silaha za moto"
Amesisitiza "Nimetoa siku sita na nawaonya kwa Mfugaji yeyote atakayekaidi agizo hilo na kuleta mapigano katika uondoaji wa wafugaji hao kwa kurusha mkuki basi vikosi vya Majeshi vitatumia mabomu na silaha za moto"