Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,763
- 284,785
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema badala ya kumfungia msanii, mamlaka zinapaswa kwanza kumuelewa kwamba kwenye tungo zake anamaanisha nini, badala ya zenyewe kutafsiri kile anachoimba.
Amedai njia pekee ya kujua alichokisema msanii huyo ni Kufanya naye Mdahalo.