Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,039
Inatolewa kila baada ya dakika 90 ni kama tuzo ya man of the match kwenye football.
Inatolewa kila baada ya dakika 90 ni kama tuzo ya man of the match kwenye football.
Kumbe misifa yote ile ni bure kabisa!Mkata
Au akatembelee mabanda ya Mbao za MaweTembelea mabanda ya nguruwe
Sina salio.
Swadakta yapo pale SimiyuAu akatembelee mabanda ya Mbao za Mawe
Hizo sifa zake si za bure, zina gharama yake ndiyo maana si kila mtu anaweza kupata bure na si kila bure ni kwa kila mtu.Kumbe misifa yote ile ni bure kabisa!
Hata nyie wafuasi wake hamuwezi kusema amefanya nini huko Simiyu.
Na yeye mtaka ni Mataga tu,Amemchana chana yule waziri aliyeandaa somo la historia ya Tanzania ya màgufool lilipigwa chini dk chache baada ya betri kuishiwa charge
Kumchukia au kumpenda ni hiari yako lakini RC Mtaka amechagua kusimama UKWELI.Huyu anayeitwa Anthony Mtaka ni muda sasa nimeanza kumsikia lakini sikumtilia maanani kivile.
Hata wakati wa Magufuli nilikuwa namsikia sikia tu kwamba ati ni Mkuu wa Mkoa bora. Akapewa sijui na tuzo!...
Kuomba msamaha ni ungwana siyo upumbavu. Wewe katika maisha yako hujawahi kukosea? Ni yupi mwema kwenu nyie Wathesalonike Sabaya au!Ukweli gani? Mbona kakimbilia kuomba msamaha?
Hiyo beteri mlishindwaje kuongeza hata maji ya washawasha ili iamke haraka.Amemchana chana yule waziri aliyeandaa somo la historia ya Tanzania ya màgufool lilipigwa chini dk chache baada ya betri kuishiwa charge
Kwani yeye ni mteule WA spika au?Kumbe ubora wake ni kwenye tasnia ya matusi dhidi ya wateule wa Rais!?
Kwa hiyo akiandika kuomba radhi wewe unampa uungwana? Kumbuka, watu wa hovyo ni wepesi wa kuomba radhi.Huwezi kumuelewa Mtaka kama umewehuka. Sifa yake ya kwanza ni muungwana na katika kuthibitisha hilo ameandika andiko lenye kuomba radhi kwa yote hayo yaliyotokea akiwa na Waziri..
Ni kweli ni mtu wa hovyo na ameomba radhi unamshauri nini huyu mtu wa hovyo?Kwa hiyo akiandika kuomba radhi wewe unampa uungwana? Kumbuka, watu wa hovyo ni wepesi wa kuomba radhi.
Hotuba aliyoitoa, alijipanga. Kama hayo aliyosema ndo mpango wake, fahamu unatetea mtu hovyo. Btw, ana elimu gani? Does he remember any law of nature?