RB huisha kwa mda gan?

Hakuna limitation of action/expiration of legal document kwny kesi za jinai kbla ya kutolewa hukumu mkuu!.
 
Hakuna limitation of action/expiration of legal document kwny kesi za jinai kbla ya kutolewa hukumu mkuu!.
Uhamisho wa wanandoa kumfuata mwenza wake unaruhusiwa kisheria mkuu!. Taratibu hzo huanzia kwa HR ama km upo idara ya elimu basi itakuwa kuanzia kwa ofsi ya DEO.

So kwa kuwa mpaka sasa huna tatzo ama mgogoro na mtu yeyote anaehuska kuhusu suala lako basi nachoweza kushauri ni wewe kwnd kwa wahuska ukaanze hizo process UKIKWAMA kwa sababu ya bosi wako kupindisha sheria hapo ndo tutakupa msaada pale ulipokwama.

Ni mapema mno kuanza kutengeneza LEGAL ACTIONS wakati huna tatzo na taratib za uhamisho!.
 
Weweee, hata ufe au aliyepewa afe hiyo doc inakuwa valid hadi atakapojitokeza.
Kwa hiyo usije ukajipa moyo au ukamfariji mtu kuwa yuko huru baada ya muda kitambo kupita.

Tena, hiyo doc huwa wanapitia files zote za RB zilizotolewa na Kuangalia progress yake.
 
Uhamisho wa wanandoa kumfuata mwenza wake unaruhusiwa kisheria mkuu!. Taratibu hzo huanzia kwa HR ama km upo idara ya elimu basi itakuwa kuanzia kwa ofsi ya DEO.

So kwa kuwa mpaka sasa huna tatzo ama mgogoro na mtu yeyote anaehuska kuhusu suala lako basi nachoweza kushauri ni wewe kwnd kwa wahuska ukaanze hizo process UKIKWAMA kwa sababu ya bosi wako kupindisha sheria hapo ndo tutakupa msaada pale ulipokwama.

Ni mapema mno kuanza kutengeneza LEGAL ACTIONS wakati huna tatzo na taratib za uhamisho!.
Mke wangu mimi kaanza kuomba uhamisho toka mwaka 2014,kinachosikitisha kwa sasa wameamua kumuhamishia mbali zaidi huku wakijua ana matatizo kiafya NA sehem alikopelekwa hakuna hata kituo cha afya.anasumbuliwa na presha ya kushuka na madonda ya tumbo.nimelalamika kwa mkurugenzi ila naona mkurugenzi ana dhamira ya kuwalinda wahusika.
 
Back
Top Bottom