Mmmmh! :!!hyo kali xaxa
Ccm wanao utamaduni Huo wa kuachiana uongozi Kama Katiba Yao inavyohitaji, hapo tuwasifu.JK alipokea Toka kwa Mkapa na atakabidhi kwa JPM ifikapo 2017.Matatizo yapo upinzani...Tuhoji Mbowe atakabidhi Lini uenyekiti?..
Hivi uzi unamhusu Mbowe kumbe? Kweli walimu wenu walikuwa na kazi aisee.Na Wewe Umeelewa Jibu Alilotoa??
Katoa Jibu Kauliza Swali,jk Anamaliza Muda Wake 2017,je,mbowe Anamaliza Muda Wake Lini Au Katiba Ya Chadema Inasema Nini Juu Ya Ukomo Wa Mwenyekiti?
Waliokuwa hawamjui Raza, hakuna mtu kigeugeu na mnafiki kama huyu mtu. Hata wachukuzi bandarini, masikini ndugu zetu, akiwa na kazi zake wanahiari wasifanye kazi kuliko kumfanyia kazi huyu mtu. Muulizeni matamko yake ya Zanzibar huru yameishia wapi?
JK amwachie JPM uenyekiti ili asafishe kote kote..
Maana nako kwenye CCM kuna majipu kibao.
Mbowe ni Mwenyekiti wa kudumu ukitishia nafasi yake utaitwa msaliti.
kama unabisha muulize zito na ujifunze kwa habari ya chacha wangwe.
Ndio maana ameambiwa amuachie. Kama ni 2017 huko sio kumuachia bali kulazimika kuondokaKwani Wewe Katiba Ya Ccm Unaijua?Kikwete Anamaliza Muda Wake 2017,unaposema Anautaka Wakati Muda Wake Wakumaliza Bado Unashangaza!
Kikwete hatakiwi kuendelea na nafasi kubwa kiasi hicho katika chama, amelifanyia Taifa mambo 'makubwa' ya kusisimua.......apumzike.