OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi, kataka Rais mstafu Jakaya Kikwete kuondoka na kumwachia Rais mpya, John Magufuli uenyekiti wa CCM...
Kada huyo kasema hayo leo, huku baadhi ya wabunge vijana nao wakijipanga kumuomba Kikwete, kuondoka na kumwachia Magufuli chama kama walivyofanya watangulizi wake, Rais Mwinyi, na Mkapa...
Source: Gazeti la Leo
Kada huyo kasema hayo leo, huku baadhi ya wabunge vijana nao wakijipanga kumuomba Kikwete, kuondoka na kumwachia Magufuli chama kama walivyofanya watangulizi wake, Rais Mwinyi, na Mkapa...
Source: Gazeti la Leo