Raza: Magufuli apewe uenyekiti CCM

Raza: Magufuli apewe uenyekiti CCM

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi, kataka Rais mstafu Jakaya Kikwete kuondoka na kumwachia Rais mpya, John Magufuli uenyekiti wa CCM...

Kada huyo kasema hayo leo, huku baadhi ya wabunge vijana nao wakijipanga kumuomba Kikwete, kuondoka na kumwachia Magufuli chama kama walivyofanya watangulizi wake, Rais Mwinyi, na Mkapa...

Source: Gazeti la Leo

1449465163586.jpg
 
Kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi, kataka Rais mstafu Jakaya Kikwete kuondoka na kumwachia Rais mpya, John Magufuli uenyekiti wa CCM...

Kada huyo kasema hayo leo, huku baadhi ya wabunge vijana nao wakijipanga kumuomba Kikwete, kuondoka na kumwachia Magufuli chama kama walivyofanya watangulizi wake, Rais Mwinyi, na Mkapa...

Source: Gazeti la Leo



Ni kweli kwa nini Kikwete abakie kuwa mwenyekiti wa chama? Huyu inabidi anyang'anywe uenyekiti mara moja wala asibakie kiporo.
 
Ccm wanao utamaduni Huo wa kuachiana uongozi Kama Katiba Yao inavyohitaji, hapo tuwasifu.JK alipokea Toka kwa Mkapa na atakabidhi kwa JPM ifikapo 2017.Matatizo yapo upinzani...Tuhoji Mbowe atakabidhi Lini uenyekiti?..
 
Ni kweli kwa nini Kikwete abakie kuwa mwenyekiti wa chama? Huyu inabidi anyang'anywe uenyekiti mara moja wala asibakie kiporo.
JK abaki kuwa mwenyekiti wa chama, magufuli anakazi kubwa ya kudeki hii nchi.
 
Na kiukweli bado anautaka...na anautaka sanaaaaaaaaaaa.
Ushauri wangu, akae pembeni na apumzike.
 
Na kiukweli bado anautaka...na anautaka sanaaaaaaaaaaa.
Ushauri wangu, akae pembeni na apumzike.

kwa sasa nchi iko kwenye misukosuko na haijatulia kabisa bora akaendelea kuwepo. hiki kiporo cha Zanzibar ni chake bora akakila akakimaliza, pia kubadibadili wenyeviti chama kinapoteza mtiririko wa program zake.
 
Ccm wanao utamaduni Huo wa kuachiana uongozi Kama Katiba Yao inavyohitaji, hapo tuwasifu.JK alipokea Toka kwa Mkapa na atakabidhi kwa JPM ifikapo 2017.Matatizo yapo upinzani...Tuhoji Mbowe atakabidhi Lini uenyekiti?..

Hoja hapa ni JK kumwachia JPM uenyekiti kabla ya muda wake Nov 2017. Mzee Mwinyi na Mkapa waliachia uenyekiti kabla ya muda wao kuisha kikatiba.
 
Ccm wanao utamaduni Huo wa kuachiana uongozi Kama Katiba Yao inavyohitaji, hapo tuwasifu.JK alipokea Toka kwa Mkapa na atakabidhi kwa JPM ifikapo 2017.Matatizo yapo upinzani...Tuhoji Mbowe atakabidhi Lini uenyekiti?..

Mkuu mbona unafuatilia sana ya chadema?mwambieni jk akabidhi kofia kwa JPM
 
Ni kweli kwa nini Kikwete abakie kuwa mwenyekiti wa chama? Huyu inabidi anyang'anywe uenyekiti mara moja wala asibakie kiporo.

Kikwete hatakiwi kuendelea na nafasi kubwa kiasi hicho katika chama, amelifanyia Taifa mambo 'makubwa' ya kusisimua.......apumzike.
 
Na kiukweli bado anautaka...na anautaka sanaaaaaaaaaaa.
Ushauri wangu, akae pembeni na apumzike.

Kwani Wewe Katiba Ya Ccm Unaijua?Kikwete Anamaliza Muda Wake 2017,unaposema Anautaka Wakati Muda Wake Wakumaliza Bado Unashangaza!
 
Hizo ni mbinu za kutaka kum slow down..ila anyways kwa Magufuli yeye ni heri chama kife lakini nchi isalimike
 
kwa sasa nchi iko kwenye misukosuko na haijatulia kabisa bora akaendelea kuwepo. hiki kiporo cha Zanzibar ni chake bora akakila akakimaliza, pia kubadibadili wenyeviti chama kinapoteza mtiririko wa program zake.



Atafanya nini na hana mamlaka hiyo? Hatuna migogoro ya kichama, ni migogoro ya kimamlaka...Suala ni uenyekiti wa taifa na sio wenyeviti...
Kama ni wenyeviti wengi utakumbuka walikuwa mifugo ya yule fisadi,...nao muda ukifika watashughulikiwa kutokana na kununuliwa.
Azimio la Arusha ndio litawafaa..
Isitoshe nchi ilikuwa ishamshinda,tumshukuru bro Ben.
 
Waliokuwa hawamjui Raza, hakuna mtu kigeugeu na mnafiki kama huyu mtu. Hata wachukuzi bandarini, masikini ndugu zetu, akiwa na kazi zake wanahiari wasifanye kazi kuliko kumfanyia kazi huyu mtu. Muulizeni matamko yake ya Zanzibar huru yameishia wapi?
 
Waliokuwa hawamjui Raza, hakuna mtu kigeugeu na mnafiki kama huyu mtu. Hata wachukuzi bandarini, masikini ndugu zetu, akiwa na kazi zake wanahiari wasifanye kazi kuliko kumfanyia kazi huyu mtu. Muulizeni matamko yake ya Zanzibar huru yameishia wapi?

ndo nashangaa huyu raza mapenzi na magufuli kayatoa wapi?
 
Ni bora jpm asiwe mwenyekiti wa ccm.. Sio swala la lazma.. Ndio maana hata yeye hajaliongelea.. Lita impare independency yake kwenye shughuli za serikali, maana upo mda mwenyekiti wa.Chama anaweza kufanya lolote kukuza Chama Ama kukilinda.. Tumeona mfano mzur kwa chadema sio lazma mwenyekiti awe mgombea uraisi na hata akishinda ni makubalino au utamaduni wa Chama husika utumike kubadilissha nyadhifa kwenda kwa aliye madarakan wala isiwe kwa kupressurize... Hivi undhani leo hii chukulia mfano wewe ni baba wa familia mkeo katapika, utayazoa matapishi au utayaacha.. Ni heri adili na serikali hata kuwa na kasumba sana ya kukumbatia mambo ya Chama
 
JK amwachie JPM uenyekiti ili asafishe kote kote..
Maana nako kwenye CCM kuna majipu kibao.
 
Mkuu mbona unafuatilia sana ya chadema?mwambieni jk akabidhi kofia kwa JPM

Nyie Watu Vipi Mnapenda Kufuatilia Ya Wenzenu Tu,mkiguswa Nyinyi Ni Kama Sindano Ya Moto Iliyopita Mioyoni Mwenu....
Mkae Mjue Hamtupi Mawe Kwa Vilema Hata Sisi Tunamikono Na Tunauwezo Vilevile Wa Kutupa.
 
Ccm wanao utamaduni Huo wa kuachiana uongozi Kama Katiba Yao inavyohitaji, hapo tuwasifu.JK alipokea Toka kwa Mkapa na atakabidhi kwa JPM ifikapo 2017.Matatizo yapo upinzani...Tuhoji Mbowe atakabidhi Lini uenyekiti?..
Wewe, hebu cheki vizuri, malalamiko yametolewa na Raza ambaye ni kada wa ccm, sasa haya kuhamishia mashambulizi kwa upinzani sio kabisa.
 
Back
Top Bottom