Alichokisema Raza nina uhakika kuwa makada wa CCM kama Makamba,Mkuchika, Lowassa na Sofia Simba hawawezi kukiongea hadharani kwa vile wamekula ndoano ya mafisadi.
It does not need a rocket scientist to figure that out.
Sasa Mengi emegusia hilo na tunaona kash kash anayopata.
Ngugu yangu Pakacha hebu lisemee hilo wazi wazi kule Zenj tutakao kuunga mkono tuko wengi sana.